Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

New model inaanzia 2017 ad leo 2023 ebu kua na heshima au ujui nn maana ya new model new model ni gar isiyokua na kodi ya uchakavu iyo gar yako ukiagiza kutoka china unakatwa km million 4 kodi ya uchakavu

Af maajeni km nyie ndo mnadanganya wateja wenu kla sku mnawauzia magari mazee naya kizaman mkiwadanganya ni new model kisa ina namba E ya usajiri

Ebu jarobuni kuwaambia wateja wenu ukwel ndio watanzania ni maskin ila hawawezi shindwa kununua gar za 2017 to today sabu bei zake sio kubwa kias icho na wala hazina tofauti kubwa sana ktk bei
 
Umeonyesha ujinga wa Hali ya juu sana, toka lini Toyota zikatoka China???
.
Anyway wacha nikuache kama ulivyo [emoji1666]
 
Hali zetu tunajuana, we Agiza gari za 2017 kama hujiwezi usipotafuta mtu akupe ya 99 umuongezee na hela juu. Kwa Bongo Gari nizaidi ya mafuta.
 
Hali zetu tunajuana, we Agiza gari za 2017 kama hujiwezi usipotafuta mtu akupe ya 99 umuongezee na hela juu. Kwa Bongo Gari nizaidi ya mafuta.
[emoji1666]
 
Hebu tupia picha ya Raum new model ya kuanzia 2017 basi na sisi tujifunze kitu😆😆😆😆
 
Umeona point ya China tu, mengine hujaona mzee?[emoji1787][emoji1787]
Mengine ya kusema tununue gari za 2017??? Sio upuuzi huo?
.
Anazijua gari za 2017 au anasema tu? Samahani kwa kusema hivi lakini, WEWE NA HUYO UPEO WENU NI SAWA TU...HAKUNA MJUALO
.
Niletee sample ya gari iliyotengenezwa Japan mwaka 2017 inayomilikiwa na Mtanzania wa kawaida wa pale Tabata au Sinza.
.
STUPID......(YOM: 2017) UNAFIKIRI NI MATAK* KWAMBA KILA MTU ANAYO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…