Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo 9m cash. Ya fasta unchukua mkuu?Haijarudiwa rangi popote
Haina ajali
Haina dent yoyote
.
YOM: 2004
Engine: 1NZ vvti
Capacity: 1490cc
Automatic
Petrol
39,000 Kms
.
TZS. 14.8m
.
Location: Makumbusho - Dsm
.
Call: 0717 650800
View attachment 2480504View attachment 2480505View attachment 2480506View attachment 2480508View attachment 2480509View attachment 2480510View attachment 2480511View attachment 2480513View attachment 2480514View attachment 2480515View attachment 2480517View attachment 2480520View attachment 2480521View attachment 2480523View attachment 2480524View attachment 2480525View attachment 2480527
Duh [emoji2]Kwanini umeiosha, unaficha nini?
Umeonyesha ujinga wa Hali ya juu sana, toka lini Toyota zikatoka China???New model inaanzia 2017 ad leo 2023 ebu kua na heshima au ujui nn maana ya new model new model ni gar isiyokua na kodi ya uchakavu iyo gar yako ukiagiza kutoka china unakatwa km million 4 kodi ya uchakavu
Af maajeni km nyie ndo mnadanganya wateja wenu kla sku mnawauzia magari mazee naya kizaman mkiwadanganya ni new model kisa ina namba E ya usajiri
Ebu jarobuni kuwaambia wateja wenu ukwel ndio watanzania ni maskin ila hawawezi shindwa kununua gar za 2017 to today sabu bei zake sio kubwa kias icho na wala hazina tofauti kubwa sana ktk bei
Hali zetu tunajuana, we Agiza gari za 2017 kama hujiwezi usipotafuta mtu akupe ya 99 umuongezee na hela juu. Kwa Bongo Gari nizaidi ya mafuta.New model inaanzia 2017 ad leo 2023 ebu kua na heshima au ujui nn maana ya new model new model ni gar isiyokua na kodi ya uchakavu iyo gar yako ukiagiza kutoka china unakatwa km million 4 kodi ya uchakavu
Af maajeni km nyie ndo mnadanganya wateja wenu kla sku mnawauzia magari mazee naya kizaman mkiwadanganya ni new model kisa ina namba E ya usajiri
Ebu jarobuni kuwaambia wateja wenu ukwel ndio watanzania ni maskin ila hawawezi shindwa kununua gar za 2017 to today sabu bei zake sio kubwa kias icho na wala hazina tofauti kubwa sana ktk bei
[emoji1666]Hali zetu tunajuana, we Agiza gari za 2017 kama hujiwezi usipotafuta mtu akupe ya 99 umuongezee na hela juu. Kwa Bongo Gari nizaidi ya mafuta.
Hebu tupia picha ya Raum new model ya kuanzia 2017 basi na sisi tujifunze kitu😆😆😆😆New model inaanzia 2017 ad leo 2023 ebu kua na heshima au ujui nn maana ya new model new model ni gar isiyokua na kodi ya uchakavu iyo gar yako ukiagiza kutoka china unakatwa km million 4 kodi ya uchakavu
Af maajeni km nyie ndo mnadanganya wateja wenu kla sku mnawauzia magari mazee naya kizaman mkiwadanganya ni new model kisa ina namba E ya usajiri
Ebu jarobuni kuwaambia wateja wenu ukwel ndio watanzania ni maskin ila hawawezi shindwa kununua gar za 2017 to today sabu bei zake sio kubwa kias icho na wala hazina tofauti kubwa sana ktk bei
Umeona point ya China tu, mengine hujaona mzee?[emoji1787][emoji1787]Umeonyesha ujinga wa Hali ya juu sana, toka lini Toyota zikatoka China???
.
Anyway wacha nikuache kama ulivyo [emoji1666]
Punguza bei isiyozidi 10mil itatokaBado ipo
Mengine ya kusema tununue gari za 2017??? Sio upuuzi huo?Umeona point ya China tu, mengine hujaona mzee?[emoji1787][emoji1787]