Kanunue hizo za bei hiyo uliyoitaja huko kwengine mkuu, Mimi ya kwangu nauza 14.8m Mazungumzo yapo kidogo.Punguza bei isiyozidi 10mil itatoka
Kwa maelezo haya,kwa nini umeandika "nauza Raum new model" wakati unajua gari unalouza Ni la 2004 (chakavu) na siyo la 2017 (new model) ?Mengine ya kusema tununue gari za 2017??? Sio upuuzi huo?
.
Anazijua gari za 2017 au anasema tu? Samahani kwa kusema hivi lakini, WEWE NA HUYO UPEO WENU NI SAWA TU...HAKUNA MJUALO
.
Niletee sample ya gari iliyotengenezwa Japan mwaka 2017 inayomilikiwa na Mtanzania wa kawaida wa pale Tabata au Sinza.
.
STUPID......(YOM: 2017) UNAFIKIRI NI MATAK* KWAMBA KILA MTU ANAYO
Upo vizuri katika kushawishi mtejaHaijarudiwa rangi popote
Haina ajali
Haina dent yoyote
.
YOM: 2004
Engine: 1NZ vvti
Capacity: 1490cc
Automatic
Petrol
39,000 Kms
.
TZS. 14.8m
.
Location: Makumbusho - Dsm
.
Call: 0717 650800
View attachment 2480504View attachment 2480505View attachment 2480506View attachment 2480508View attachment 2480509View attachment 2480510View attachment 2480511View attachment 2480513View attachment 2480514View attachment 2480515View attachment 2480517View attachment 2480520View attachment 2480521View attachment 2480523View attachment 2480524View attachment 2480525View attachment 2480527
Kisirani tupu.Kanunue hizo za bei hiyo uliyoitaja huko kwengine mkuu, Mimi ya kwangu nauza 14.8m Mazungumzo yapo kidogo.
.
Nenda BEFORWRD KAULIZIE UKITAKA KUAGIZA RAUM YA 2004 YA 39,000Kms UTAIPATA KWA BEI GANI HALAFU RUDI UTUPE MREJESHO [emoji1666]
.
Msipende kuzungumza habari za bei kwa mambo msiyoyajua wazee, eti uza below 10m....are you serious??? [emoji848]
HAYAKUHUSUKisirani tupu.
Gari mil 14.8 ~ mil 15 alafu mtu anakuambia uuze mil 10 ila unakomaa kumjibu kwa dharau bora akanunue BE FORWARD ndiyo unamtisha au? Si umjibu tu kwa hekima?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kumbe Kuna Raum ya 2017? Hebu tuletee sample ya picha ya hiyo gari mkuu [emoji1666]Kwa maelezo haya,kwa nini umeandika "nauza Raum new model" wakati unajua gari unalouza Ni la 2004 (chakavu) na siyo la 2017 (new model) ?
Unajicontradict mwenyewe. Hujui kufanya biashara.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Mengine ya kusema tununue gari za 2017??? Sio upuuzi huo?
.
Anazijua gari za 2017 au anasema tu? Samahani kwa kusema hivi lakini, WEWE NA HUYO UPEO WENU NI SAWA TU...HAKUNA MJUALO
.
Niletee sample ya gari iliyotengenezwa Japan mwaka 2017 inayomilikiwa na Mtanzania wa kawaida wa pale Tabata au Sinza.
.
STUPID......(YOM: 2017) UNAFIKIRI NI MATAK* KWAMBA KILA MTU ANAYO
Hi ni kwa mujibu wa maelezo yako mwenyewe,nimekuquote wewe ulivyomjibu huyo jamaa. Gari ya 2004 unaiitaje new model? Badili hiyo heading alafu uache kisirani kwenye biashara.Kumbe Kuna Raum ya 2017? Hebu tuletee sample ya picha ya hiyo gari mkuu [emoji1666]
.
Kwanini unachangia kitu usichokifahamu ukitaka kuonyesha unakifahamu?
.
UNAJIDHALILISHA Haya tuletee picha ya hiyo Raum iliyotengenezwa Japan mwaka 2017 iliyopo Tanzania
Dalali ana hasira kweli anywe maji baridiHi ni kwa mujibu wa maelezo yako,nimekuwuote wewe ulivyomjibu huyo jamaa. Gari ya 2004 unaiitaje new model?
Hana akili.Dalali ana hasira kweli anywe maji baridi [emoji23][emoji23]
Akili unazo wewe nimekwambia niletee picha ya hiyo Raum yako ya 2017, UMELETA???Hana akili.
Eti unaiitaje new model gari ya 2004? Ujinga gani huu??? Na kwamba eti nibadili heading ya tangazo langu.Hi ni kwa mujibu wa maelezo yako mwenyewe,nimekuquote wewe ulivyomjibu huyo jamaa. Gari ya 2004 unaiitaje new model? Badili hiyo heading alafu uache kisirani kwenye biashara.
Dalali mama yakoDalali ana hasira kweli anywe maji baridi
[emoji23][emoji23]
Dalali mama yako.[emoji23][emoji23][emoji23]
Unauza Raum ya 2004 na unaita new model? Isitoshe umetemper na milage 39,000km.
Usitie ustaarabu wa samahani mzee, kilichoeleweka umetoa boko. Kingine usikaze sana fuvu relax utakuja kufa kabla ya siku zako bwana dalali.
[emoji1666]Ahsante kwa taarifa...
Dalali punguza povu [emoji23][emoji23]Dalali mama yako.
.
Eti ume-temper na mileage [emoji2]....njoo kwenye gari nikuoneshe inspected mileage ikiwa Japan na inspected mileage ya TBS ikiwa Tanzania
.
HUJUI MAGARI KAA KIMYA DADA, USIJILAZIMISHE KUTUONESHA UJINGA WAKO, UNAJIDHALILISHA [emoji2][emoji2]
.
BUMBAAAVUUU
Unamwambia nani sasa [emoji23][emoji23]ANGALIZO:
Leo niko ON MOOD sitakuwa na simile na KEJELI, KASHFA, DHARAU WALA UJINGA WOWOTE ULE WA AINA HIYO
.
Tutakwenda bampa to bampa [emoji2][emoji2] na nitakuwa online muda wote.