Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
China kaisema tuu lakini point yake ni ukweli mtupuUmeonyesha ujinga wa Hali ya juu sana, toka lini Toyota zikatoka China???
.
Anyway wacha nikuache kama ulivyo [emoji1666]
Ni wa kumpuuza huyoKwa maelezo haya,kwa nini umeandika "nauza Raum new model" wakati unajua gari unalouza Ni la 2004 (chakavu) na siyo la 2017 (new model) ?
Unajicontradict mwenyewe. Hujui kufanya biashara.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
HUNA UNALOJUA KUHUSU MAGARIChina kaisema tuu lakini point yake ni ukweli mtupu
Ww unayejua ndo unataka kututapeliHUNA UNALOJUA KUHUSU MAGARI
Watch your mouth bro, tafadhali tusiitane matapeli. Tafadhali SANA [emoji1666]Ww unayejua ndo unataka kututapeli
Wewe huoni upuuzi anaeleta huyo kenge???Kisirani tupu.
Gari mil 14.8 ~ mil 15 alafu mtu anakuambia uuze mil 10 ila unakomaa kumjibu kwa dharau bora akanunue BE FORWARD ndiyo unamtisha au? Si umjibu tu kwa hekima?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Duh..walimwengu noma sana. Angeweka gari chafu angenangwa kwamba anauza gari chafu…….jamaa kaweka gari inasafishwa…..here we go again.Kwanini umeiosha, unaficha nini?
0717 650800Mkuu, hii gari bado ipo? Offer yangu ni 13m
Mkuu usipanicWatch your mouth bro, tafadhali tusiitane matapeli. Tafadhali SANA [emoji1666]
.
Sijakuita kwenye huu Uzi, sijamlazimisha mtu yeyote yule humu ndani alipie chochote Kwa namna yoyote ile. UNANIITAJE TAPELI?
.
Niko hapa kuuza mali yangu and nothing else.
YOU SERIOUS???Mkuu usipanic
Gari itatoka keep calm
Tunakupa changamoto tuu don't take it personal [emoji1666]
Ipobado ipo
Mkuu punguza bei hiyo
Sawa mkuuMkuu punguza bei hiyo
Mpaka leo gar haijatoka?