Car4Sale Tunauza Magari ya kila aina, tupo Dar es salaam

Car4Sale Tunauza Magari ya kila aina, tupo Dar es salaam

Kama 1999 ulikuwa hujaanza shule,let's assume umeanza chekechea 2000,alafu ukamaliza la Saba 2007 (Bado hujabarehe), ukabarehe ukiwa form 2 mwaka 2009 (which is unlikely ubarehe na kumpa mimba Binti mwaka huo)

Mtoto wako naye likely kabarehe Ana Miaka 14,ndivo kusema naye kampa Binti mimba mwezi January mwaka huu[emoji1787] ,na wewe Uhuru unataka kuzidi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman mwenzenu anauza gariii acheni hizo
 
1999 Toyota RAV4 Short Chassis (DKM)
.
YOM: 1999
Engine Code: 3S
Capacity: 1990cc
.
Fuel: Petrol
.
Automatic
Mileage: 167,000 Kms
.
Haijawahi kupata ajali yoyote ile
Haigongi chini wala shock ups
.
Haijawahi kurudiwa rangi
.
Full AC [emoji2414]
Full Documents
.
Location: Kimara - Dsm
.
Price: TZS. 6.9m
.
Call: 0717 650800
.
Gari ni ya kwangu epuka madalali [emoji1666]

View attachment 2287794View attachment 2287795View attachment 2287797View attachment 2287798View attachment 2287799

Mkuu, inakuaje namba D gari ya 1999!!
 
More Pics
IMG_20220719_115355_1.jpg
IMG_20220719_115230_2.jpg
IMG_20220719_115239_2.jpg
IMG_20220719_115214_3.jpg
IMG_20220719_115110_7.jpg
IMG_20220719_115132_7.jpg
IMG_20220719_115258_4.jpg
IMG_20220719_115157_9.jpg
IMG_20220719_115322_9.jpg
IMG_20220719_115430_3.jpg
IMG_20220719_115458_4.jpg
IMG_20220719_115514_2.jpg
 
Sasa mtoto kukwaruza gari au boda boda kukwaruza gari hiyo nayo ni ajali? Hivi kwanini huwa inatokea mtu ukajiona Ni mjuaje sana? Inachefua kwakweli.
.
Mimi mmiliki wa gari ninakueleza gari yangu haijawahi kupata ajali, sasa wewe kama Ni mteja kweli Ni jukumu lako kuja ukiwa na fundi wako uthibitishe ninayosema.
.
Sio kila jambo Ni lazima uonyeshe unalijua mzee, wakati mwingine unaweza kupata aibu kwa wanaolijua kweli KUKUDHARAU [emoji1666]
Binadamu wengine wameumbwa kwa ajili ya kusumbua wengine tu.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Sawa ni manufacturing year, lakini si imetumika hapa bongo, sio imetoka japan na kufikia showroom

Au si hivyo mkuu!
Ninafikiri kwa hakika kabisa HAUELEWI unachokizungumza mkuu, samahani kama nimetumia lugha kali.
.
Ukipata nafasi nipigie nikufahamishe hapo panapokutatiza. Ingawaje gari nimeshauza tayari [emoji1666]
 
Ninafikiri kwa hakika kabisa HAUELEWI unachokizungumza mkuu, samahani kama nimetumia lugha kali.
.
Ukipata nafasi nipigie nikufahamishe hapo panapokutatiza. Ingawaje gari nimeshauza tayari [emoji1666]
Mkuu nakupa hongera sana kwa kuwa na uvumilivu na ukomavu wa hali ya juu maana majibu ya kejeli yalikua mengi sana ila umewajibu kwa ustaarabu sana.
 
Mkuu nakupa hongera sana kwa kuwa na uvumilivu na ukomavu wa hali ya juu maana majibu ya kejeli yalikua mengi sana ila umewajibu kwa ustaarabu sana.
Nashukuru sana mkuu [emoji1666]
 
YOM: 2000
Engine: EJ
Capacity: 989cc
Automatic
Petrol
93,000 Kms
Full AC
Full Documents
.
Price: TZS. 2.9m
.
Location: Dsm
.
Call: 0717 650800

IMG-20220730-WA0009.jpg
IMG-20220730-WA0010.jpg
IMG-20220730-WA0008.jpg
IMG-20220730-WA0012.jpg
IMG-20220730-WA0006.jpg
IMG-20220730-WA0004.jpg
IMG-20220730-WA0002.jpg
IMG-20220730-WA0007.jpg
IMG-20220730-WA0005.jpg
 
Back
Top Bottom