Ibrahim mgaya
Member
- May 27, 2019
- 27
- 12
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman mwenzenu anauza gariii acheni hizoKama 1999 ulikuwa hujaanza shule,let's assume umeanza chekechea 2000,alafu ukamaliza la Saba 2007 (Bado hujabarehe), ukabarehe ukiwa form 2 mwaka 2009 (which is unlikely ubarehe na kumpa mimba Binti mwaka huo)
Mtoto wako naye likely kabarehe Ana Miaka 14,ndivo kusema naye kampa Binti mimba mwezi January mwaka huu[emoji1787] ,na wewe Uhuru unataka kuzidi
1999 Toyota RAV4 Short Chassis (DKM)
.
YOM: 1999
Engine Code: 3S
Capacity: 1990cc
.
Fuel: Petrol
.
Automatic
Mileage: 167,000 Kms
.
Haijawahi kupata ajali yoyote ile
Haigongi chini wala shock ups
.
Haijawahi kurudiwa rangi
.
Full AC [emoji2414]
Full Documents
.
Location: Kimara - Dsm
.
Price: TZS. 6.9m
.
Call: 0717 650800
.
Gari ni ya kwangu epuka madalali [emoji1666]
View attachment 2287794View attachment 2287795View attachment 2287797View attachment 2287798View attachment 2287799
Hy s manufacturing year mbn vichwa zenu ngumuMkuu, inakuaje namba D gari ya 1999!!
Binadamu wengine wameumbwa kwa ajili ya kusumbua wengine tu.Sasa mtoto kukwaruza gari au boda boda kukwaruza gari hiyo nayo ni ajali? Hivi kwanini huwa inatokea mtu ukajiona Ni mjuaje sana? Inachefua kwakweli.
.
Mimi mmiliki wa gari ninakueleza gari yangu haijawahi kupata ajali, sasa wewe kama Ni mteja kweli Ni jukumu lako kuja ukiwa na fundi wako uthibitishe ninayosema.
.
Sio kila jambo Ni lazima uonyeshe unalijua mzee, wakati mwingine unaweza kupata aibu kwa wanaolijua kweli KUKUDHARAU [emoji1666]
Hy s manufacturing year mbn vichwa zenu ngumu
Ninafikiri kwa hakika kabisa HAUELEWI unachokizungumza mkuu, samahani kama nimetumia lugha kali.Sawa ni manufacturing year, lakini si imetumika hapa bongo, sio imetoka japan na kufikia showroom
Au si hivyo mkuu!
Mkuu nakupa hongera sana kwa kuwa na uvumilivu na ukomavu wa hali ya juu maana majibu ya kejeli yalikua mengi sana ila umewajibu kwa ustaarabu sana.Ninafikiri kwa hakika kabisa HAUELEWI unachokizungumza mkuu, samahani kama nimetumia lugha kali.
.
Ukipata nafasi nipigie nikufahamishe hapo panapokutatiza. Ingawaje gari nimeshauza tayari [emoji1666]
Hiyo HATA pikipiki hupatiMkuu 1.5m unachukua Ipo mfuko wa shati hapa