Tunauza majeneza na sanda za kisasa... Karibuni sana wateja

Mcheza Piano

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2024
Posts
562
Reaction score
1,339
Kufa kufaana... Karibu dukani kwetu mtaa wa Kalenga karibu na hospitali ya Taifa ya Muhimbili, njoo tukuuzie masanduku ya kisasa yakawaida na yakidijitali kwa gharama nafuu sana.
Sema biashara sahivi haijachanganya sana, mje mniunge mkono nisije nikafa njaa mkakosa majeneza yakisasa.
 
Usituchurie aisee
 
Ugali wa muhogo
 

Attachments

  • DSC_0123.JPG
    5.9 MB · Views: 5
  • DSC_0134.JPG
    2.1 MB · Views: 5
Utofauti wake na zisizo za kisasa ni upi?

Au memba mzikwaji atakawia kudecay
 
sasa hizo sanda na majeneza mapya ya kidijitali ya nn ?? ukifa umukufa tu
 

Weka picha, usijekuwa wauza mapazia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…