Tunauza majeneza na sanda za kisasa... Karibuni sana wateja

Tunauza majeneza na sanda za kisasa... Karibuni sana wateja

Zamani ilikuwa hivi;

1. Huwez pata tangazo la kibiashara la vituo vya afya.

2. Huwez pata tangazo la kibiashara la dawa na vifaa tiba.

3. Huwez pata tangazo la kibiashara la wataalamu wa fani za udaktar na sheria.

Saiz hayo yote hapo juu ni kinyume. Ni vema kila fani ijaribu kuzingatia outstanding ethics, norms and customs.
Jinyonge mkuu kama huridhishwi na maisha ya sasa, hakikisha unawapa location yangu ili waje wanunue jeneza kwangu
 
Kufa kufaana... Karibu dukani kwetu mtaa wa Kalenga karibu na hospitali ya Taifa ya Muhimbili, njoo tukuuzie masanduku ya kisasa yakawaida na yakidijitali kwa gharama nafuu sana.
Sema biashara sahivi haijachanganya sana, mje mniunge mkono nisije nikafa njaa mkakosa majeneza yakisasa.
Unauza kwa bei ya jumla?
Mfano nikitaka jeneza 20 na sanda zake nitapata kwa bei ya jumla?
 
Kufa kufaana... Karibu dukani kwetu mtaa wa Kalenga karibu na hospitali ya Taifa ya Muhimbili, njoo tukuuzie masanduku ya kisasa yakawaida na yakidijitali kwa gharama nafuu sana.
Sema biashara sahivi haijachanganya sana, mje mniunge mkono nisije nikafa njaa mkakosa majeneza yakisasa.
Picha mkuu.. Tangazo bila picha ni sawa na story za kusadikika


#Hilinalomkalitizame.
 
Mama ntilie hafi njaa, anakula hicho hicho cha wateja.
 
Back
Top Bottom