Mcheza Piano
JF-Expert Member
- Mar 2, 2024
- 562
- 1,339
- Thread starter
-
- #61
Jinyonge mkuu kama huridhishwi na maisha ya sasa, hakikisha unawapa location yangu ili waje wanunue jeneza kwanguZamani ilikuwa hivi;
1. Huwez pata tangazo la kibiashara la vituo vya afya.
2. Huwez pata tangazo la kibiashara la dawa na vifaa tiba.
3. Huwez pata tangazo la kibiashara la wataalamu wa fani za udaktar na sheria.
Saiz hayo yote hapo juu ni kinyume. Ni vema kila fani ijaribu kuzingatia outstanding ethics, norms and customs.
π¦π¦π¦Haya, come ili u-cum
ππππ¦π¦π¦
Duhh! Hio noumaaa sana lo
Unauza kwa bei ya jumla?Kufa kufaana... Karibu dukani kwetu mtaa wa Kalenga karibu na hospitali ya Taifa ya Muhimbili, njoo tukuuzie masanduku ya kisasa yakawaida na yakidijitali kwa gharama nafuu sana.
Sema biashara sahivi haijachanganya sana, mje mniunge mkono nisije nikafa njaa mkakosa majeneza yakisasa.
Hahaha..............yeah ni kweli, hata mwili tu umemjiaAlikuwa apeche alolo wakati ule.Muulize kama bado ana mawazo yale!
Sema kweliNakojoooaaaaa
Hujamuelewa vizuri. Ametaka kipande cha sanda iliyotumika sio mpyaMganga kaniagiza nipeleke kipande cha sanda. Nitakuja kukuungisha mkuu
Picha mkuu.. Tangazo bila picha ni sawa na story za kusadikikaKufa kufaana... Karibu dukani kwetu mtaa wa Kalenga karibu na hospitali ya Taifa ya Muhimbili, njoo tukuuzie masanduku ya kisasa yakawaida na yakidijitali kwa gharama nafuu sana.
Sema biashara sahivi haijachanganya sana, mje mniunge mkono nisije nikafa njaa mkakosa majeneza yakisasa.
Haina shida mkuu nitajifunga siku kadhaa kabla niipeleke.Hujamuelewa vizuri. Ametaka kipande cha sanda iliyotumika sio mpya
Sasa si utajiroga mwenyewe maana ina jasho lakoπHaina shida mkuu nitajifunga siku kadhaa kabla niipeleke.
Duuh sasa ninayetaka kumroga ndio inabidi nimpe aivae sio?Sasa si utajiroga mwenyewe maana ina jasho lakoπ
Ndio. Inatakiwa kuwe na jasho lakeDuuh sasa ninayetaka kumroga ndio inabidi nimpe aivae sio?
Basi tena nimeshafeliNdio. Inatakiwa kuwe na jasho lake
Marehemu avae na miwani sipati picha huo mshtuko wa waagaji ππππππππ