Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 683
Unataka kujianzishia biashara yako nyumbani ya kusaga na kukoboa mahindi, mpunga, n.k au wewe ni mkulima unayetaka kuwa na mashine yako mwenyewe ya kusaga na kukoboa mahindi, mpunga na nafaka mbalimbali, basi hii ni chance yako.. kwa tshs 1,300,000 unajipatia mashine yako na faida yake utajionea
⭕Mashine imebaki MOJA tu, ipo Dar
Sifa za mashine hii
🔸️Mashine ina pande mbili, pande moja ni ya kukoboa, upande wa pili ni kusaga
🔸️Motor yake ni ya 2.2kw 2800r/m
🔸️Rahisi kutumia
🔸️uwezo wa kusaga na kukoboa zaidi ya 300kg kwa saa
🔸️Ni mashine ndogo unayoweza kuiweka sehemu popote nyumbani
🔸️Bei yake ni bei ya kiwandani yani 1,300,000/= (fixed price)
🔸️mashine ina uzito 83kg (mashine pamoja na motor yake) upana 1260×400×1120mm
🔸️inatumia umeme wa kawaida wa majumbani
Maelezo zaidi
🔴mashine kwa sasa ipo Dar, kwa wateja walio teyari kuinunua wasiliana nami whatsapp +8615721537610 au mwakilishaji wetu wa Dar 0754385573
🔴Kuna wateja wetu wa mda waliwasiliana na mimi au mwakilishaji wetu tangu mwakani walitaka kujiandaa kipesa kabla ya kununua, kama wapo teyari tutawapa kipaumbele cha kwanza
🔴Mashine imebaki MOJA tu hapo Dar, mteja akiwahi kuinunua wengine wanatakaotaka wasiliana nasi uweke ODA, MALIPO MZIGO UKIFIKA TZ
🔴Ndugu walio mikoani, kama una njia ya sisi kukusaidia kusafirisha mashine tuambie (usafirishaji ni juu yako) AU tunaweza kusaidia kupeleka mashine kwenye kampuni utakayopendekeza ya usafirishaji kutoka Dar kuja popote ulipo, ila malipo kabla ya mashine kuwekwa kwenye chombo cha usafiri
🔴Ili kurahisisha usafirishaji, mashine haijawa assembled, ila ukinunua mashine utatumiwa video ya maelekezo ya kusaidia ku assembo na isitoshe ndani ya box kuna kitabu kidogo chenye maelekezo ya ku assembo mashine, na nirahisi hauitaji fundi hata wewe mwenyewe unaweza kui assembo
Tunapatikana Dar Mtoni Kijichi, kwa maelezo zaidi piga simu namba 0754385573
Hizi mashine bado zipo?