INAUZWA Tunauza Mashine aina mbalimbali, tupo Dar es salaam
Mkuu hii mashine haina kipengele? Na imetengenezewa hapahapa tz?
Maana isije ikaloga nikashindwa kupata mafundi
 
Kipindi cha mgao wa umeme usipate tabu.. Nunua powerbank zinazofaa
Powerbanks zipo mbili MPYA

1. Solar powerbank (Nyeusi)
Bei 39,500/=
~inaweza ku charge kwa jua na umeme
~20,000mAh
~2 input portals pia ina waya zake 4 za kucharge simu aina tofauti (inbuilt wires)

2. Ya kawaida (nyeupe)
Bei 35,000/=
~ni ya umeme tu
~20,000mAh
~2 input portals na output portals

Namba 0754385573 au 0686792229
Zipo Dar, Mtoni Kijich8

NB: powerbank zimekuja na ndege, walifungua airport ila ni mpyaaaa!
20220723_143607.jpg
20220723_143602.jpg
20220723_135632.jpg
20220723_135154.jpg
20220723_135706.jpg
 
Kwa wakulima wa mahindi, kuna mashine ya kupukuchua mahindi, kuna ya umeme na ya mafuta ya petroli


Ya mafuta (petroli) Tshs 1,300,000
Ya umeme Tshs 350,000

Mashine Zinasifa zifuatazo
●Inatumia mafuta ya Petrol na kuna inayotumia umeme
●Inaweza kupukuchua hadi kilo 3000 (3 tonnes) ya mahindi kwa lisaa limoja
●Imetengenezwa na material nzuri ya kudumu
●inaweza ambatanishwa na matairi ili kusaidia mkulima kuizafirisha shambani

Ya umeme ipo napo 350,000/=, zote zinauwezo sawa wa kupukuchua kwa saa

Wasiliana nami 0754385573 au 0758741474
mmexport1616570172408_resized.jpg
1867268932.png
 

Attachments

  • -105671169.png
    -105671169.png
    387.8 KB · Views: 30
  • 1928261905.png
    1928261905.png
    607.8 KB · Views: 28
Back
Top Bottom