Hizi mashine bado zipo?
 
Nmeipenda sana machine hii kama bado zinapatikana tafadhar mtujuze
 


Bei 1,500,000/=

Sifa za mashine hii
●Mashine ina pande mbili, upande mmoja ni wa kusaga na upande wa pili ni wa kukoboa.
●Inarahisisha kazi na kupunguza gharama ya umeme
●Inaweza koboa mpunga, mtama, mahindi, n.k (kwa saa 200kg)
●Inaweza saga mahindi, mchele, manjano, kahawa, mtama n.k (kwa saa 300kg)
●Ni portable na rahisi kutumia
●inatumia motor ya 3000Watts
●Inatumia umeme wa kawaida wa majumbani, yani 220V
Mashine ni MPYA

Mashine ipo DAR,
Namba 0754385573
Au tuma message +8615721537610 (WhatsApp )

NB: Kwa mikoani nitatuma kwa gharama za mteja







 
Mimi naitamnani sana hii machine lakini sijajua ufanisi wake hasa
 
Mashine ya kutengeneza siagi ya karanga au ufuta (peanut butter na sesame paste) MPYA

♦️PUNGUZO LA SIKUKUU (HOLIDAY SALE)♦️
Pata mashine kwa punguzo la sikukuku

Bei ya sikukuu shillingi 550,000
(mwisho Januari 5)

Bei ya mwanzo ni 650,000



Uzalishaji/inatengeneza kilo 15 (15kg) ya siagi (peanut butter au sesame paste) kwa saa
Imetengenezwa na chuma imara kisichopata kutu
Rahisi kutumia
Inatumia umeme wa kawaida wa majumbani

Mashine ipo Dar,

Number ya simu 0754385573
Wakwanza kuulipia atachukua! Karibuni





 
Bei 890,000/=
Intelligent inkjet hand printer (MPYA)
Mashine ya ku print batch number, expiry date, manufacturing date, logo (Nyeusi), bar code, nk

Mashine inafaa wafanya biashara au wajasiliamali wadogo wanaotengeneza bidhaa zao wenyewe za kuuza

Mashine ipo moja MPYA na pia unaweza weka Oda...
Malipo yote unafanya ukipokea mzigo wako (kwa wateja wa Dar)
kwa mikoani inategemea

Maelezo
▪Ina system yenye lugha tofauti za kimataifa mfano kiingereza, Kiarabu, Kichina nk
▪Ina battery 2600MAh, ukisha charge ikijaa unatumia masaa nane mfululizo
▪Wino mweusi (kama unataka wino rangi nyengine bei tofauti )
▪System: Linux
▪Printing quality: 600dpi
▪CPU: Quad core 1.4GHz
▪Uzito 0.7kg
▪Pia unapata USB na input pen ya printer
▪Ina print kwenye vitu mbalimbali mfano mbao, mawe, box, karatasi, staineless steel, plastic, nk

Karibuni!
WhatsApp:
+86 18916240026 au +8615721537610 (kupata maelezo kuhusu mashine, jinsi ya kuweka oda, malipo nk)

Au
mwakilishi wa Dar 0754385573 (kuhusu kuweka oda, usafirishaji kwa mikoani nk)















 
Hii ni nzuri kwa biashara ya viungo vikavu vya kusaga vya chai na pilau nk
 
Dah! Ningekuwa bado naishi Ifakara, ningenunua hii kitu. Msimu kama huu ngingekua nakula tu ubwabwa kwa mlamu kalia ndili, njuju au ndipi! Ukiweka na limao, haki ya nani maisha yangekua ni mepesi kweli kweli.
 
Bei shillingi 650,000
Mashine ya kutengeneza siagi ya karanga au ufuta (peanut butter na sesame paste)

Tshs.650,000 (bei ina maongezi)

Uzalishaji/inatengeneza kilo 15 (15kg) ya siagi (peanut butter au sesame paste) kwa saa
Imetengenezwa na chuma imara kisichopata kutu
Rahisi kutumia
Inatumia umeme wa kawaida wa majumbani
Mashine ni MPYA

Number ya simu 0754385573
Wakwanza kuulipia atachukua! Karibuni
 

Attachments

  • 1658298549.png
    219.6 KB · Views: 17
  • -1570610475.png
    207.5 KB · Views: 17
  • 1972956858.png
    435.7 KB · Views: 17
  • 207999667.png
    196.3 KB · Views: 18
Bei 1,500,000/=

Sifa za mashine hii
●Mashine ina pande mbili, upande mmoja ni wa kusaga na upande wa pili ni wa kukoboa.
●Inarahisisha kazi na kupunguza gharama ya umeme
●Inaweza koboa mpunga, mtama, mahindi, n.k (kwa saa 200kg)
●Inaweza saga mahindi, mchele, manjano, kahawa, mtama n.k (kwa saa 300kg)
●Ni portable na rahisi kutumia
●inatumia motor ya 3000Watts
●Inatumia umeme wa kawaida wa majumbani, yani 220V
Mashine ni MPYA

Mashine ipo DAR,
Namba 0754385573
Au tuma message 0758741474

NB: Kwa mikoani nitatuma kwa gharama za mteja
 

Attachments

  • 20220618_123320.png
    625.8 KB · Views: 36
  • 20220618_123347.png
    420.2 KB · Views: 41
  • 1092535087.png
    337 KB · Views: 46
  • -36733430.png
    332.3 KB · Views: 47
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…