Car4Sale Tunauza na kukopesha magari

Howo 240m sawa na dollar laki moja mpya si ume qoute hivyo???
Kwa dealers hapa hapa Dar zipo nyingi tu ni dollar 56,000/= killa kitu. Na ukilipa nusu nyingine miezi 6 hadi 12.
Zipo Morocvo Comm8sion agents na Howo Chinese. Nimenunua march na aprill mwaka bei hizo mpya gari tatu.
Wewe bei ya 240m shs umeitoa wapi???
 
Ndio inaongezeka na riba kdg 3%

Unalipa kila mwez kwa muda wa miez 12
Asante kwa majibu..sema bei yenu kubwa sana..bora tu mtu ujipange uagizie japan moja kwa moja.

Wabongo mnataka super profit.

Idea yako nzuri sana na itawasaidia wengi sana kumilika usafiri..sema mmezingua bei.

#MaendeleoHayanaChama
 
TARATIBU ZA KUPATA MKOPO WA MAGARI KUTOKA JAPAN

1. Mteja atalipa 50% ya pesa kama utangulizi

2. Utawasilisha tin number yako, picha za passport size pia kitambulsho kimojawapo kati ya leseni, nida au cha mpiga kura

3. Gari lazima ikatiwe bima kubwa pamoja na cartrack(Gprs)

4. Muda wa mkopo ni miez 3,6,9 mpaka 12 kwa gari ndogo

Mwaka 1 na miez 6 kwa gari kubwa

Kuwa wa kwanza kuona magari ya kuagiza na ya mikopo kupitia whatsapp 0769177042 tuma sms jina lako nikusave uweze kupata gari ya ndoto yako na kufanya maamuzi kupitia whatsapp

Whatsapp

0769177042





















 
TARATIBU ZA KUPATA MKOPO WA MAGARI



Kwa mfanyakazi

1.SALARY SLIP

2.BANK STATEMENTS YA MIEZI 6

3.MKATABA WA AJIRA

4.BARUA YA UTAMBULISHO KUTOKA SERIKALI YA MTAA

5.KITAMBULISHO CHAKE NA MDHAMINI

6.PROFOMA INVOICE YA GARI



Kwa Mfanyabiashara

1.BANK STATEMENTS YA MIEZI 6

2.LESEN YA BIASHARA

3.BARUA YA UTAMBULISHO TOKA SERIKALI YA MTAA

4.KITAMBULISHO CHAKE NA CHA MDHAMINI

5.PROFORMA INVOICE



-Mteja atalipa 50% ya pesa kama utangulizi



-Gari lazima ikatiwe bima kubwa pamoja na cartrack(Gprs)



-Muda wa mkopo ni miez 3,6,9 mpaka 12 kwa gari ndogo



Mwaka 1 na miez 6 kwa gari kubwa



Kuwa wa kwanza kuona magari ya kuagiza na ya mikopo kupitia whatsapp 0769177042 tuma sms jina lako nikusave uweze kupata gari ya ndoto yako na kufanya maamuzi kupitia whatsapp



Whatsapp

0769177042
 

Attachments

  • 02688EA6-A469-423F-82E3-C2B09F4A2458.jpeg
    63.7 KB · Views: 52
  • D387B1F0-9B00-4C3A-8BF0-517CC1D86C6D.jpeg
    64.5 KB · Views: 55
  • 5A0DE8C5-4FA2-45C6-BF0D-ADF67343DFC8.jpeg
    89.5 KB · Views: 54
  • EC8D28F6-F4F6-4E22-8895-D978D1CD929E.jpeg
    42.6 KB · Views: 55
  • F1F8CB93-1636-4F0D-90CE-0AB5D305F5E3.jpeg
    35.1 KB · Views: 53
  • CE3AEB0F-20A8-4CC9-B91B-259AED95F86F.jpeg
    20 KB · Views: 59
  • 70FCA1F1-5E3E-4CF0-AAF2-E706D0D3C82E.jpeg
    92.4 KB · Views: 57
  • 338CC077-12ED-493B-AAEC-87BDA47D6A9E.jpeg
    64.5 KB · Views: 50
  • B34F5353-56A7-444F-8BBA-AA8070860137.jpeg
    52.5 KB · Views: 45
Hahaha wabongo, kusikia mshahara umeongezwa mmataka kuchukua hichohicho kidogo tena!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…