Tatizo ya hizo Flati ukinunua utajikuta tena kuna gharama za kulipia kila mwisho wa mwezi...mara unaambiwa Parking Fees..mara Lift Fees.mara hela ya usafi mara hela ya mlinzi..unajikuta kila mwezi unaambiwa ulipe 200$USD
Unaonekana wewe unayaogopa maisha sana.Hapo unapoishi nani anakukusanyia takataka, na kama hapo nyumbani kwako kuna swimming pool nani anagharamia? kama hapo nyumbani kwako kuna mlinzi nani anamlipa? Nani anagharamia cctv camera maintenance? Mani taka? Na kama hapo nyumbani kwako una bustani nani anamlipa mtunza bustani...? Nani anagharamia gharama za matengenezo ya miundombinu ya mani na meme inakuwa na itirafu? Na ujue katika majengo makubwa ukishalipa service charge ulipi tena bill ya maji....gharama zote ukichukulia na unakaa Mbweni unafanya kazi Posta gharama ya usafiri plus matumizi engine haifiki hiyo $200 kwa mwezi?
 
Tatizo ya hizo Flati ukinunua utajikuta tena kuna gharama za kulipia kila mwisho wa mwezi...mara unaambiwa Parking Fees..mara Lift Fees.mara hela ya usafi mara hela ya mlinzi..unajikuta kila mwezi unaambiwa ulipe 200$USD
Kupunguza maelezo mengi kuna service charges na parking charges.
 
Maisha haya yanapelekea kuwaonea wivu waliojenga ghorofa.
 
Kama nanunua ina maana itakuwa mali yangu, sasa je, nikitaka kubomoa inakuwaje?
Na umesema kuna kulipia sijui swiming pool, cctv, Maintenance etc. Kama je , sihitaji hivyo vitu inakuwaje?
 
Hii inaitwa lease hold, maana yake property ni ya kwako lakini kiwanja si cha kwako.
Sawa, kam property ni ya kwangu si naruhusiwa kufanya chochote? What if nataka kubomoa na kujenga kwa structure tofauti ninayoitaka mimi?

Halafu nilipe mahela yote hayo bado tena niwe nakaa vikao na wenzangu kuhusu kumlipa mlinzi, mara sijui anayefanya usafi nje, etc. Huoni ni kama mmepanga tu?
250m bora nijenge tu hata kama ni huko Pugu
 
Sawa, kam property ni ya kwangu si naruhusiwa kufanya chochote? What if nataka kubomoa na kujenga kwa structure tofauti ninayoitaka mimi?
Lease hold inakubana mambo mengi na mwenye ardhi akiamua kufanya mabadiliko ya jengo huna budi kumuuzia.
 
Nyumba kama hizi unanunua kwa investment, foreigners kama maofisa wa UN wanapenda kuishi sehemu kama hizi. Unakua na uhakika wa kodi na service charges analipa mwenyewe.

Niliwahi kununua nyumba ya lease hold, mwenye ardhi aliamua kuvunja na kujenga apartments mpya. Alituita na kutupa offer ya kununua nyumba zetu na kama tutapenda apartments mpya zikiisha atatuuzia kwa bei mpya ya sokoni.
 
Kuna aina mbili za lease;
1. Finance lease
2. Operating lease.

Sasa inategemea ni ni ipi imefanyika hapo.
 
Tatizo ya hizo Flati ukinunua utajikuta tena kuna gharama za kulipia kila mwisho wa mwezi...mara unaambiwa Parking Fees..mara Lift Fees.mara hela ya usafi mara hela ya mlinzi..unajikuta kila mwezi unaambiwa ulipe 200$USD
Uzuri wa jf kuna vichwa smart kama wewe mzee, hapo fasta fasta mtu anaingia kichwa kichwa anatoa mpunga bila kujua hayo mambo ya lease, akija kutahamaki imeisha hyo.
 
Mimi kabla ya kununua kitu hasa vinavyotangazwaga hapa lazima kwanza nipitie comments za wananzengo zote then nafanya maamuzi.
 
Hizi wanaweza wahindi, Waarabu na Watu wa nje wanaofanya kazi nchini.
Kwa mimi/sisi waswahili ni ngumu,binafsi siwezi kutoa pesa nyingi hivo (japo Sina) bado niishi Kama nimepanga vile, hakuna uhuru wa 100% kama Unaishi kwako.

Vitu vingi hapo ni communally owned.Mfano nataka kuogelea hapo huku nakunywa safari kubwa polepole watoto wa apartment nyingine wanakuja,pozi linaisha.
 
Kweli mkuu hata mimi siwezi kununua apartment kama hizo hiyo 250 bora niende nikanunua beach blot hata ya smq 2000 kwa 50m hadi 100m halafu hizo 150m niitupe kwenye mjengo.
 
Fabulous 3 Bedroom 1st floor unfurnished apartment, ideally located nearby points of interest; Al Muntazir School, St Immaculate (place of worship), Shaban Robert Secondary School, international School of Tanganyika, Olympia Primary School, Agha Khan Hospital and local amenities The property consists of 3 bedrooms unfurnished with floor tiles finish

Closed Kitchen; living/dinning areas. 2 Bathrooms fully tiled with shower. The entire property is decorated to a high standard. Please schedule a DAY and HOUR for a visit or call/sms/whatsapp 0784225000.









 
-Mlango wako wa mbele/eneo la mbele ya nyumba linamilikiwa na wewe.

-Unaingia na kutoka au nyumbani kwako bila kupitia kwa jirani yako.

-Nyumba chini ina sebule, jiko, mahala pa kula, na chumba kimoja cha uhani. Juu ina vyumba viwili vya kulala.

-Faida ya upekee katika hii nyumba hakuna kuigingiliana na majirani.

-Nyumba inafaa kwa kuishi wewe binafsi na familia yako au kuikodisha.

-Nyumba ipo hatua chache nyuma kutoka Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

-Bei 260mil na inazungumzika.

Wasiliana nami kwa simu/whatsapp +255784225000

















 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…