mbuzimawe99
JF-Expert Member
- Nov 23, 2021
- 231
- 802
NI SHERIA KUWA NA KIBALI CHA UJENZI KUTOKA MANISPAA HUSIKA KABLA YA KUANZA UJENZI HIVYO SI UHUNI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa mkuu hii ilikuwa nshu ya kibali cha ujenzinani kakuandikia hapo usimamishe ujenzi,naona mwaka jana ulikatazwa kujenga
Hapana mkuu hamna kulia hapa,hii ilikuwa nshu ya kibali cha ujenzi na tumeshaweka sawa.[emoji134]kuna mtu anaenda kulizwa muda si mrefu
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi huu na ni kwel na hii ilikuwa miongoni mwa zilizopitiwa na kazia hiiKama ni Madale hata Nyumba yangu walichora hivyo hivyo watu wa Manispaa eti SIMAMISHA UJENZI,kimsingi Nyumba zote kabla hujajenga unatakiwa uwe na Kibali cha Manispaa,sasa sie wengine ukinunua tu kiwanja unaanza kujenga bila Kibali.
Kwa Madale nadhani nyumba zote walizichora hayo maandishi,ukienda Manispaa wanataka pesa tu Laki Tatu basi mchezo umeisha,tena nyingine wamechora hayo maandishi wakati watu wameshahamia na kuhamia, uhuni tu
Mkuu weka wazi! Bei ndogo au kubwa?
Poa sana mkuu na asante sanaAhsante kwa taarifa...
Hahaha mimi nliwawahi,mimi nko mashamba ya jeshi paleManispaa Kinondoni wahuni sana,nami narudi kutoka mihangaiko yangu nakuta wamechora nyumba yangu hukohuko Madale Flamingo Simamisha Ujenzi nikashangaa,kumuuliza jirani yangu nae wamemchorea hivyohivyo,asubuhi tukawafuata ofisini kwao,tukawapoza na Lakilaki wakatupa hivyo vikaratasi vyao eti ndio vibali daaah,upigaji nchi hii hautakuja kwisha[emoji23][emoji23][emoji23]
Bado mkuuIna nyaraka gani?
Kweli kabisa mkuuHahaha mimi nliwawahi,mimi nko mashamba ya jeshi pale
Ila naona waliwachorea watu sehemu kubwa huko hadi nyakasangwe kuelekea msigani
Ila naskia zoezi lilisitishwa,style tu ya kutafuta hela ilikuwa
Ova
Ok samahani sana mkuuHapana mkuu hamna kulia hapa,hii ilikuwa nshu ya kibali cha ujenzi na tumeshaweka sawa.
Pamoja mkuu kuwa na amani kabisaOk samahani sana mkuu