Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

NI SHERIA KUWA NA KIBALI CHA UJENZI KUTOKA MANISPAA HUSIKA KABLA YA KUANZA UJENZI HIVYO SI UHUNI
 
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi huu na ni kwel na hii ilikuwa miongoni mwa zilizopitiwa na kazia hii
 
Hahaha mimi nliwawahi,mimi nko mashamba ya jeshi pale
Ila naona waliwachorea watu sehemu kubwa huko hadi nyakasangwe kuelekea msigani
Ila naskia zoezi lilisitishwa,style tu ya kutafuta hela ilikuwa

Ova
 
Hahaha mimi nliwawahi,mimi nko mashamba ya jeshi pale
Ila naona waliwachorea watu sehemu kubwa huko hadi nyakasangwe kuelekea msigani
Ila naskia zoezi lilisitishwa,style tu ya kutafuta hela ilikuwa

Ova
Kweli kabisa mkuu
 
Nyumba inauzwa MBWENI UBUNGO

Nyumba ina vyumba 3 vyote ni self
Nyumba ni ya kisasa na imezunguushiwa fence
Size plot 1000 sqm.

Bei Tsh 350m
Maongezi zaidi 0756060183
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…