Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Ningeinunua ila sasa kuna ishu naifanya ya msingi.

Mil 600M ni pesa mbuzi kwangu kwa hiyo nyumba

Wakati mwingine tuushitue umasikini.
 
Ukiangalia vizuri hiyo 600ml. na bado nyumba bado haijaisha!!! Parefu hapo!!!
 
Picha za Ndani please! Halafu mil.500 vp unachukua Nije?
 
Hii nyumba mpaka ilipofika si zaidi ya 350 million ukijumuisha na kiwanja. Malizieni nyumba kwanza basi before dalali kuweka price mara mbili
 
Mkeka ukitiki tutaongea bei nzuri😂😂😂....
Alisikika mbetiji mmoja toka pande za magomeni kagera😄


Daah maisha haya si mchezo 600mln 🤔
 
Ukiangalia vizuri hiyo 600ml. na bado nyumba bado haijaisha!!! Parefu hapo!!!
Ni kweli mkuu ila nyumba iko vzr sana na mbweni Jkt kwa sasa inaendelea kujengekeka kuliko ata mbezi beach nk
 
Hii nyumba mpaka ilipofika si zaidi ya 350 million ukijumuisha na kiwanja. Malizieni nyumba kwanza basi before dalali kuweka price mara mbili
Mkuu maeneo haya kwa sasa bei ya Kiwanja ni 200m usisahau hili wakati unapiga bajet zako za ujenzi
 
Mkeka ukitiki tutaongea bei nzuri[emoji23][emoji23][emoji23]....
Alisikika mbetiji mmoja toka pande za magomeni kagera[emoji1]


Daah maisha haya si mchezo 600mln [emoji848]
Yaani we acha tu ndg yangu maisha yanatofautisha watu pakubwa
 
Mkeka ukitiki tutaongea bei nzuri[emoji23][emoji23][emoji23]....
Alisikika mbetiji mmoja toka pande za magomeni kagera[emoji1]


Daah maisha haya si mchezo 600mln [emoji848]
Hahaa pambania mkuu maisha yanaweza badilika mda wowote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…