Sasa humo kutokulamba asali tayari amefupisha maisha yake kwa miaka 30 so ana haki ya kufa mapema🤣🤣🤣🤣Maisha ni fumbo mkuu; kuna jamaa yangu alikuwa boss shirika fulani, hanywi pombe wala alambi asali, anajitunza na kubana matumizi; baada ya muda akashushwa cheo, kutokana na msongo wa mawazo n.k amefariki mdogo, huku starehe za dunia alikuwa anazikataa
Hivi vitu vinapunguza msongo wa mawazo kama utatumia vizuriSasa humo kutokulamba asali tayari amefupisha maisha yake kwa miaka 30 so ana haki ya kufa mapema🤣🤣🤣🤣
Jumba Kama hili Kama mtu hupendi Sana maisha ya ufahari, huliweziHapo sio chini ya million mbili kila mwezi. Garder, wafnyakazi wa usafi watatu. Billi ya umeme million maji laki tatu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ningenunua ila tatizo makafara yaliyofanywa umo sio mchezo[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Amepangishiwa....hivi Daimond si amepanga kwa nini asinunue hili jeengo....
Mkuu Tanzania kumiliki nyumba ni rahisi. Hapo hata mambo ya garden unaweza kufanya wewe. Maji ni kuendana na matumizi na umeme pia sidhani kama ni tatizo kubwa. Ulaya ukiwa na sehemu kama hiyo kuna malipo kibao. Ndiyo maana huko, kuishi kwenye nyumba yako hakuna tofauti kubwa na kuishi kwenye nyumba ya kupanga.Hapo sio chini ya million mbili kila mwezi. Garder, wafnyakazi wa usafi watatu. Billi ya umeme million maji laki tatu
Yangu ipo mfuko wa shatiHakuna billion inayokaa mfuko wa shati,itakuwa laki hyo
Sawa.wape wakudai million 300
Haha mkuu hili huko halifiki ila nina hii ya Tsh 80mJumba kama jumba. Likifika kwenye 100mil mnistue wakuu
Akifanya hivi tunampa na funguo kabisaSawa.wape wakudai million 300
Akifanya hivi tunampa na funguo kabisa
Mnakuja kuharibu biashara za Watu ,huna Kaa kimya.Bil 1.3?? Bei ya ghorofa California - US.
Hilo halipaswi kuwa zaidi ya mil 500