Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Sasa humo kutokulamba asali tayari amefupisha maisha yake kwa miaka 30 so ana haki ya kufa mapema🤣🤣🤣🤣
 
Jengo zuri na bei ni stahiki kimjinimjini

Nje ya mada;

American design inapendeza kwenye eneo kubwa asubuhi unapanda farasi kuzungukia miradi yako hapo hapo shambani ukitaka bike au gari wewe tu na maunyama yako ndani kwako
Viwanja kadhaa vya michezo ,unakula vyakula kutoka shambani kwako sio makemikali ya mbogambiga na nyanya tunayokula yanatuletea magonjwa yasiyoambukizwa kwa Kasi.
 
Hapo sio chini ya million mbili kila mwezi. Garder, wafnyakazi wa usafi watatu. Billi ya umeme million maji laki tatu
Mkuu Tanzania kumiliki nyumba ni rahisi. Hapo hata mambo ya garden unaweza kufanya wewe. Maji ni kuendana na matumizi na umeme pia sidhani kama ni tatizo kubwa. Ulaya ukiwa na sehemu kama hiyo kuna malipo kibao. Ndiyo maana huko, kuishi kwenye nyumba yako hakuna tofauti kubwa na kuishi kwenye nyumba ya kupanga.
 
Jumba kama jumba. Likifika kwenye 100mil mnistue wakuu
Haha mkuu hili huko halifiki ila nina hii ya Tsh 80m
[emoji116]
NYUMBA INAUZWA MBWENI MISSION

Nyumba ina vyumba 4 na kati ya hivyo kimoja ni self..stingroom,Dainingroom nk
Size plot 830 SQM
Kiwanja kimepimwa na kinabhati.
Bei Tsh 80m
Maongezi kidogo
 
NYUMBA INAUZWA BUNJU MINGOI

NYUMBA INA VYUMBA V3 SEBULE JIKO CHUMBA KIMOJA MASTER BEDROOM IPO MINGOI NJIA YAKWENDA KIHALAKA MITA 800 UMEFKA UWANJA SGMIT 1600 PAMEPIMWA

BEI TSH 35M
MAONGEZI ZAIDI 0756060183

 

Attachments

  • IMG-20220903-WA0002.jpg
    19.7 KB · Views: 16
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…