🤣🤣🤣 Wala huna shida ya kuongea...mchuchu wenyewe unavua kyupi...wee ni kutembeza bakora ya de libolo. Wee kila wikend ni kuwaalika warembo mjengoni unapiga sex party tuuUkimiliki mjengo kama huo hakuna mchuchu wenye chura yake utakaothubutu kukunyima mbuchuchu
Na hapo hata ukifumaniwa unasamehewa. Aftaroo mjengo kama huo hufumaniwi, unakutwa.🤣🤣🤣 Wala huna shida ya kuongea...mchuchu wenyewe unavua kyupi...wee ni kutembeza bakora ya de libolo. Wee kila wikend ni kuwaalika warembo mjengoni unapiga sex party tuu
Wee kufumania ya nini. Mjengo kama huo wee kazi ni kubadilisha warembo tuu mwanawane. Hakuna kuoaNa hapo hata ukifumaniwa unasamehewa. Aftaroo mjengo kama huo hufumaniwi, unakutwa.
Mortgage system ipo South AfricaMaswal ya kukopa nyumba kuafrica siyo sawa kbsa tuwaachie waazungu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Yani mjengo huo unaoaje kwa mfano? Hayo ni matumizi mabaya ya mjengo.Wee kufumania ya nini. Mjengo kama huo wee kazi ni kubadilisha warembo tuu mwanawane. Hakuna kuoa
Unajielewa mwanawane👍Yani mjengo huo unaoaje kwa mfano? Hayo ni matumizi mabaya ya mjengo.
Ukigegedea kwenye huo mjengo hauhesabiwi dhambi. Maulana atupe hela za kutosha tuachane na dhambiUnajielewa mwanawane👍
Ndio maana mmbongo akihamia kwake utamsikia anasema 'Nimeshahamia kwny kile kibanda changu'.Acha kabisa, ila nitajenga kama hii with the same architecture kwa million 600.
Kuna wanaoishi kwenye nyumba alafu kuna wanaoishi kwenye mabanda.
NHC na NSSF wanafanya huo utaratibu.Ni kweli lakini ni kwa nini Shirika kubwa kama National House Corporation wasifanye hivyo? Maana kuna vijana kibao wanaingia kwenye ajira na wanataka nyumba lakini hawana "cash" za kujenngea nyumba papo kwa hapo.
Lakini pia nchini mwetu uhakika wa ajira (Job security) haupo!! kuanza kukopesha mtu ambaye mwajiri wake anaweza kumfukuza kazi wakati wowote bila ya sababu ya msingi, ni hatari sana.
Watanzania wengi hatuna vipato vya uhakika vya kudumu.
Kujenga miaka mitatu hadi mitano una tofauti gani na aliekopa akawa analipa taratibu miaka 3-5?Maswal ya kukopa nyumba kuafrica siyo sawa kbsa tuwaachie waazungu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Lovely😍😍😍😍Ipo salasala jirani na kwa aliyekuwa spika Ndugai
Nyumba ina vyumba 5 na kati ya hivyo 4 ni self,stingroom Dainingroom kitchen nk
Size plot 1800 SQM
Hati ipo
Bei 600,000$
Picha na video zaidi naomba unichek WhatsApp no
0756060183
View attachment 2345920View attachment 2345921
Jipe moyo tu siku moja utafanikiwaNingenunua ila tatizo makafara yaliyofanywa umo sio mchezo[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Safi sana. Ngoja nikaangalie Vyumba pale Mtungo Guest kama vipo na watakubali kuchukua 7 badala ya 10,000 nipige tu masaa kama 5 hivi.Hahaa kazi hiyo kwangu mimi dalali ni nyepesi sana we nambie nimlete wapi