Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Ni kweli lakini ni kwa nini Shirika kubwa kama National House Corporation wasifanye hivyo? Maana kuna vijana kibao wanaingia kwenye ajira na wanataka nyumba lakini hawana "cash" za kujenngea nyumba papo kwa hapo.

Lakini pia nchini mwetu uhakika wa ajira (Job security) haupo!! kuanza kukopesha mtu ambaye mwajiri wake anaweza kumfukuza kazi wakati wowote bila ya sababu ya msingi, ni hatari sana.

Watanzania wengi hatuna vipato vya uhakika vya kudumu.
NHC na NSSF wanafanya huo utaratibu.
 
Hapa dar es salaam na pwani kuna maeneo mengi sana Sumaye aliyashika

Kuanzia Chanika kuna mtaa wa Sumaye
Bunju kuna mtaa wa sumaye
Kiluvya kuna mtaa wa sumaye
Kibaha kongowe kuna mtaa wa sumaye


Kote huko jamaa ana maeneo makubwa sana

Nilivoona hiyo location ya kwa ndugai ndo nkamkumbuka Sumaye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa kazi hiyo kwangu mimi dalali ni nyepesi sana we nambie nimlete wapi
Safi sana. Ngoja nikaangalie Vyumba pale Mtungo Guest kama vipo na watakubali kuchukua 7 badala ya 10,000 nipige tu masaa kama 5 hivi.

Hapa bob utakuwa umecheza sana. Uje na mikataba kabisa...maana nikimla tu huyu dem wakati wa mapumziko nakuja tuyajenge.... Aiseee nitashukuru sana.
 
Back
Top Bottom