Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

HOUSE FOR SALE
▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ ▃
Located at Kunduchi Beach
--- 5 Bedrooms House (2 Self)
--- Big windows
--- Kitchen
--- Sitting room
--- Dining room
--- Common toilet ( public toilet)
--- Water --- Fenced
--- An ideal for Residence
--- Price: Call for price (Negotiated)
--- Plot size. 3,831 Sqm.
--- Documents: Clean Title deed
470m
 
Hiyo Bei ni kubwa sana mara tatu ya thamani ya hilo pagale
Mkuu usisahau kiwanja chake kikubwa karibia heka moja na kwa kunduchi beach bei elekezi ya Serikali kwa SQM moja ni Tsh 150,000.
Sasa hebu zidisha tu mara huo ukubwa thn jumlisha na hilo pagale
 
Mkuu usisahau kiwanja chake kikubwa karibia heka moja na kwa kunduchi beach bei elekezi ya Serikali kwa SQM moja ni Tsh 150,000.
Sasa hebu zidisha tu mara huo ukubwa thn jumlisha na hilo pagale
Hiyo bei elekezi ya 150,000 ametoa nani? Unajua bei ya sgm 1 New York City ni kiasi gani? Ina maana kunduchi beach ni zaidi ya NYC?
 
Ipo Ununio inavyumba v2 sebule jiko chumba kimoja self public toilet ukubwa wakiwanja sgmit 500.

Bei yakuuzwa milion 90.

Bei yakupanga laki 4 kwa Mwezi.

Mawasiliano zaidi 0756060183.

IMG-20200608-WA0182.jpg
IMG-20200608-WA0183.jpg
IMG-20201009-WA0041.jpg
IMG-20201009-WA0043.jpg
IMG-20201009-WA0037.jpg
IMG-20201009-WA0042.jpg
IMG-20201009-WA0046.jpg
IMG-20201009-WA0045.jpg
 
Nyumba ya vyumba viwili. Sqm 500 ni sh 90 millioni😎😎😎😎😎. Mwambie asubiri awamu ya 6 labda pesa itaingia mifukoni. Ngoja wenye uzoefu waje. Mimi natafuta nyumba za kununua maeneo ta kuanzia salasala mpaka Bunju ila siyo kwa bei zako hizi. Juzi nilitembelea nyumba kadhaa Salasala na Goba na bei ziko za wastani kabisa nyumbanzuri room 3 na uwanja Sqm 700 na kuendelea unaanzia 50,60,70m.

Namwenye mali anakukaba kama ruba ununue. Ukweli pesa ngumu na nyumba beo imeshuka watu wanauza kurejesha mikopo bank na pia mitaji ya kuamsha biashara zao zilikufa kipindi cha Corona. Mwenye pesa huu ndiyo muda wa kununua nyumba. Ujanja ukiweza nenda serikali za mitaa ulizia kama kuna nyumba zinauzwa maana madalali wanapandisha bei mno.

Kuna nyumba Goba niliunganishwa na rafiki nikaambiwa ni 60m na room ni 3 uwanja mkubwa na ya kisasa. Sasa nilikuwa nimempa dalali kazi na akaniambia amepata nyumba Goba akanitumia picha na bei 90m. Kuiangalia kumbe ni ile ile ambayo nilianziwa 60 ikapungua mpaka 55m. Aise madalali ni kuwa nao makini mno au ukishaiona nyumba unatulia zako miezi kadhaa ikipita unaiendea mwenyewe unapata contacts kwa majirani unanunua tu. Yaani mtu anaweza cha juu 30m. Hovyo kabisa.
 
Sijui napiga hesabu hii ili nipate nini
90,000,000 ÷ 400,000 = 225
Miezi 225 ndiyo urejeshe mtaji I.e miaka 225÷12=.18.75 Yaani miaka 18 na miezi 9 Ila ujue kuna ukarabati kila mpangaji alitaka au pia kuboresha. Pia kuna kipindi mpangaji mpya hatapatikana kwa wakati. Jua pia kodi zinaweza kushuka kama real estate itakuwa saturated na pia uzee wa nyumba unaweza pia kupunguza kodi. Hivyo andika miaka 25 ya kurejesha mtaji🤣🤣🤣🤣
Sijui napiga hesabu hii ili nipate nini
90,000,000 ÷ 400,000 = 225
 
Nyumba ya vyumba viwili. Sqm 500 ni sh 90 millioni[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]. Mwambie asubiri awamu ya 6 labda pesa itaingia mifukoni. Ngoja wenye uzoefu waje. Mimi natafuta nyumba za kununua maeneo ta kuanzia salasala mpaka Bunju ila siyo kwa bei zako hizi...
Sawa mkuu maoni yako ni muhimu na asante sana.
 
Miezi 225 ndiyo urejeshe mtaji I.e miaka 225÷12=.18.75 Yaani miaka 18 na miezi 9 Ila ujue kuna ukarabati kila mpangaji alitaka au pia kuboresha. Pia kuna kipindi mpangaji mpya hatapatikana kwa wakati. Jua pia kodi zinaweza kushuka kama real estate itakuwa saturated na pia uzee wa nyumba unaweza pia kupunguza kodi. Hivyo andika miaka 25 ya kurejesha mtaji[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kila biashara lazima uwe na uzoefu nayo maana si kila biashara waweza kufanya ndg nyingine acha tuwaachie wengine
 
Miezi 225 ndiyo urejeshe mtaji I.e miaka 225÷12=.18.75 Yaani miaka 18 na miezi 9 Ila ujue kuna ukarabati kila mpangaji alitaka au pia kuboresha. Pia kuna kipindi mpangaji mpya hatapatikana kwa wakati. Jua pia kodi zinaweza kushuka kama real estate itakuwa saturated na pia uzee wa nyumba unaweza pia kupunguza kodi. Hivyo andika miaka 25 ya kurejesha mtaji🤣🤣🤣🤣
Du si mchezo chifu
 
Nyumba ya vyumba viwili. Sqm 500 ni sh 90 millioni😎😎😎😎😎. Mwambie asubiri awamu ya 6 labda pesa itaingia mifukoni. Ngoja wenye uzoefu waje. Mimi natafuta nyumba za kununua maeneo ta kuanzia salasala mpaka Bunju ila siyo kwa bei zako hizi...
Chief umeongea vyema sana.
 
Nyumba ya vyumba viwili. Sqm 500 ni sh 90 millioni😎😎😎😎😎. Mwambie asubiri awamu ya 6 labda pesa itaingia mifukoni. Ngoja wenye uzoefu waje. Mimi natafuta nyumba za kununua maeneo ta kuanzia salasala mpaka Bunju ila siyo kwa bei zako hizi. Juzi nilitembelea nyumba kadhaa Salasala na Goba na bei ziko za wastani kabisa nyumbanzuri room 3 na uwanja Sqm 700 na kuendelea unaanzia 50,60,70m....
Ahsante kwa somo mkuu,ubarikiwe
 
Back
Top Bottom