dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
- Thread starter
-
- #521
Sorry una maanisha Bunju mkuu?Unabunja mkuu?
namaanisha unavunja?Sorry una maanisha Bunju mkuu?
Navunja na kitu gani mkuu nambie tuone tunafanyajenamaanisha unavunja?
Mkuu lete maneno tuvunje na kitu gani niambie ndg yangu tupambanienamaanisha unavunja?
Habari, Naweza kupata eneo lililo karibu na bahari? Pasiwe pia na makazi ya watu wengi. Min 525 ~ Max 700 SQMs.Wale watu wetu wa kigamboni karibuni sana viwanja vipo vinapatikana
Unapata mkuu, tuwasilianeHabari, Naweza kupata eneo lililo karibu na bahari? Pasiwe pia na makazi ya watu wengi. Min 525 ~ Max 700 SQMs.
Chukua 20mKaribuni wateja wetu, nyumba tumeamua kupunguza bei.
Njoo na ofa yako tujadiriane maana hii si ya kuikosa
Location ya maana sana, halafu bei reasonableNyumba ni ya zamani kidogo na inahitaji matengenezo kama itakavyoonekana kwenye picha.
Ukubwa wa kiwanja ni 1200 SQM.panafaa makazi na biashara pia maana kiwanja kimefes kwenye Lami iendayo Kunduchi.
Bei 350M
Maongezi zaidi na kuhusu ofa yako unaweza kunipigia kwa 0756060183
View attachment 1591705View attachment 1591706View attachment 1591707[ATTACH type="full"
Hahaaa duh mkuu umetisha ila yote kwa yote asante kwa ofaChukua 20m
Sana yaani ndg yangu.Location ya maana sana, halafu bei reasonable
Hahaaa duh umetisha aiseeh ila nitafute nikupe eneo jingine ndg yanguMkuu Nina 15 mil cash, nikivuna ndizi wa 12 nitaongezea 10m mkuu,
Hii ya zamani sana Mkuu sio kidogo. Vp kuhusu mafuriko maeneo hayo hasa kipindi hiki Cha mvua Hali ikoje eneo la tukio?Nyumba ni ya zamani kidogo na inahitaji matengenezo kama itakavyoonekana kwenye picha.
Ukubwa wa kiwanja ni 1200 SQM.panafaa makazi na biashara pia maana kiwanja kimefes kwenye Lami iendayo Kunduchi.
Bei 350M
Maongezi zaidi na kuhusu ofa yako unaweza kunipigia kwa 0756060183
View attachment 1591705View attachment 1591706View attachment 1591707[ATTACH type="full"