Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Hiki Chuo cha Sanaa Kaole ni kipya na ni tofauti na kile Chuo cha Sanaa Bagamoto kwa sasa TASUBA?
 
Hivi ndo aina ya viwanja ambavyo ukinunua kwa bei tajwa unashindwa hata kununua ama kufyatua matofali unabaki unakitembelea utafikili kinaumwa?
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Why mkuu?
 
Weee usinambie?[emoji849][emoji849]
Kwann uhangaike kununua viwanja wakati nyumba za kupanga zimejaa. Ona wahindi wana-invest na kupeleka watoto shule za maana. Wabongo unahangaika Kujenga Mbondile huko shule za St. Kayumba, maji shida, kufika Mjini 25kms. Why?
 
Daah location nzuri sana....tatizo sisi wengne ndoto zetu ni za kununua nyumba acha tujipangee tuu
 
Kwann uhangaike kununua viwanja wakati nyumba za kupanga zimejaa. Ona wahindi wana-invest na kupeleka watoto shule za maana. Wabongo unahangaika Kujenga Mbondile huko shule za St. Kayumba, maji shida, kufika Mjini 25kms. Why?
Kwani sisi wabongo tumeumbwa tuwaige waIndi
 
Meneo Mandela Road kuelekae Tabata segerea bus stand.
Barabara zote kubwa za mjini
Ukubwa kuanzia 3000 SQM

Njoo na ofa yako tuzungumze.

Mawasiliano zaidi 0756060183
 
Plot inauzwa ipo Ununio beach
Size 1200 sqm

Bei Tsh 180m

Maelezo zaidi 0756060183

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…