Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ukipata nafasi karibu nikuonyeshe eneo na haya mengine ni rahisi sana.Hiki Chuo cha Sanaa Kaole ni kipya na ni tofauti na kile Chuo cha Sanaa Bagamoto kwa sasa TASUBA?
Kigamboni Ni majanga majambazi ya kumwaga ukihamia Lazima waje kutest mic sebuleni kwako. Yaan pesa yako inakutesa tenaHela kubwa
Duh we jamaa!Kigambono Ni majanga majambazi ya kumwaga uiihamia Lazima waje kutest mic
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi ndo aina ya viwanja ambavyo ukinunua kwa bei tajwa unashindwa hata kununua ama kufyatua matofali unabaki unakitembelea utafikili kinaumwa?
Weee usinambie?[emoji849][emoji849]Kigamboni Ni majanga majambazi ya kumwaga ukihamia Lazima waje kutest mic sebuleni kwako. Yaan pesa yako inakutesa tena
Kwann uhangaike kununua viwanja wakati nyumba za kupanga zimejaa. Ona wahindi wana-invest na kupeleka watoto shule za maana. Wabongo unahangaika Kujenga Mbondile huko shule za St. Kayumba, maji shida, kufika Mjini 25kms. Why?Weee usinambie?[emoji849][emoji849]
Shabash, kumbe upo chato mzee,. Huku duniani Mjomba ako kawashiwa moto na EUSihusiki na hilo tangazo mi niko zangu huku chato
Oooo kuumbe?Kigamboni Ni majanga majambazi ya kumwaga ukihamia Lazima waje kutest mic sebuleni kwako. Yaan pesa yako inakutesa tena
Kwani sisi wabongo tumeumbwa tuwaige waIndiKwann uhangaike kununua viwanja wakati nyumba za kupanga zimejaa. Ona wahindi wana-invest na kupeleka watoto shule za maana. Wabongo unahangaika Kujenga Mbondile huko shule za St. Kayumba, maji shida, kufika Mjini 25kms. Why?
Kama si kuiga Leo hii ungekua unatembea utupu Kama Zinjathropus au Chief MangungoKwani sisi wabongo tumeumbwa tuwaige waIndi
Milioni mia moja na themanini mkuu.Hivi hiyo 'M' hapo mbele ya 180 imesimama badala ya neno gani?
hahaa.. mkuu kama huamini sio!!Hivi hiyo 'M' hapo mbele ya 180 imesimama badala ya neno gani?
Sawa mkuuWanakuja