Kabisa nimemuambia iliko nyumba ndiyo imeleta shida. Nyumba kweli inaonekana ni nzuri. Halafu bado hakuna hata pavings. Hali ngumu wenye nyumba watafakari. Na madalali waambie ukweli wenye nyumba kuwa mambo ni magumu. Bora reasonable price ili biashara ifanyike haraka na dalali afaidike. Kuna nyumba zinauzwa toka 2019 wateja hakuna na wapangaji nao hakuna.Location ina matter mzee
Mmi ndio nilikua na mwambia ndugu yangu ununio ni Beverley hills kibongo bongoNi kweli ila Ununio unaisikiaje au unaifahamuje mkuu?
Ni mbali na mjini na miundo mbinu ya barabara za mitaani ni matatizo makubwa. Ununio na Tegeta kununua nyumba ni uende kipindi cha mvua kubwa ndiyo utakimbia mbio ya chita. Ila hiyo yako sijui. Mvua za masika zikianza nitakutafuta nikaioneNi kweli ila Ununio unaisikiaje au unaifahamuje mkuu?
Mkuu kama hutojali mimi nipatie tu ramani ya hiyo nyumba nikajenge mwenyewe sehemu ya kupumzikia uzeeni.Nyumba ina vyumba 3 vyote ni self
Size plot 1200 SQM
Nyumba ni ya kuhamia kabisa na bado ni mpya.
Bei 250m
Pia kuna nyumba nyingine ndogo ya vyumba 3 na kimoja self
Sorry kwenye picha hatujaionyesha
Maongezi zaidi 0756060183View attachment 1696003View attachment 1696004View attachment 1696005View attachment 1696006View attachment 1696007View attachment 1696008View attachment 1696009View attachment 1696010
Sawa mkuu ila nadhani unazungumzia Ununio nyingineNi mbali na mjini na miundo mbinu ya barabara za mitaani ni matatizo makubwa. Ununio na Tegeta kununua nyumba ni uende kipindi cha mvua kubwa ndiyo utakimbia mbio ya chita. Ila hiyo yako sijui. Mvua za masika zikianza nitakutafuta nikaione
Hahaa karibu sana mkuu na kama vp nitakupa na mafundi walioijengaMkuu kama hutojali mimi nipatie tu ramani ya hiyo nyumba nikajenge mwenyewe sehemu ya kupumzikia uzeeni.
Ununio ndo, penyewe hacha tupambane tuNi mbali na mjini na miundo mbinu ya barabara za mitaani ni matatizo makubwa. Ununio na Tegeta kununua nyumba ni uende kipindi cha mvua kubwa ndiyo utakimbia mbio ya chita. Ila hiyo yako sijui. Mvua za masika zikianza nitakutafuta nikaione
Pamoja sana mkuuUnunio ndo, penyewe hacha tupambane tu
Tutakuja kuchua nyingne mkuu
Nitafurahi sana mkuu.Hahaa karibu sana mkuu na kama vp nitakupa na mafundi walioijenga
Hiyo nyumbw ukiuza sana 120
DuhCavani yuko ofisini
Mkuu Dar bado ndio jiji bora Africa mashariki..karibu ununue mjego huu ndg yangu
Mkuu picha zipo sema nichk WhatsApp nikutumieHiyo nyumba ndogo mbona haionekani pichani na hizo fremu,pia picha za vyumbani na toilet zake hamna.
Je, hiyo nyumba ndogo ya wapangaji ipo ndani ya fensi moja na nyumba kubwa??!Hii nyumba inauzwa ipo mbweni ,ina vyumba 3 self na pia kuna nyumba ndogo ya wapangaji pamoja na frem mbili za maduka ziko na wapangaji..size plot 1600 SQM bei 270m ..Maongezi yapo
0756060183View attachment 1714218View attachment 1714220View attachment 1714221View attachment 1714223View attachment 1714224View attachment 1714225