Nashkr sana kusikia ivyo ndg yangu na karibu sana ofisini kwetu Bahari beach..Maeneo mengine tunenda kuchukua kazi na kuzitafutia wateja mkuu
Hahaa hapa tunauza jengo la Biashara KariakooHata sielewi kinaendelea nini hapa.[emoji124][emoji124][emoji124]
Pw sana mkuu.Tupo pamoja mkuu
Hahaa hapa tunauza jengo la Biashara Kariakoo
Huo ni ukweli kabisa mkuu ila yanaweza kuwa fair kama tutaamua kuwa serious nayoDaah.maisha hayako fair.
Vikapuku kwa mashauzi sasa, ukiwa huna hela nyuzi za hela usiwe una comment madhara yake ndio haya makasiriko tele.Mkuu kaliakoo ni wapi? Au ulimaanisha Kariakoo?
Mkuu unafanya biashara ya zaidi ya 4 billion ila hujui kuandika kariakoo? Nisamehe kama kuna sehemu inaitwa kaliakoo na mimi siijui.
Umemjibu kiungwana sana, hakika wewe ni dalali mbobevu, [emoji1490]Nashukuru sana mkuu kwa usahihi huu nitauzingatia wakati mwingine....haha ila kumbuka matamshi ya makabila yetu yanaharibu kiswahili ila yote kwa yote kikubwa ni kuelewana
Asant sana mkuuVikapuku kwa mashauzi sasa, ukiwa huna hela nyuzi za hela usiwe una comment madhara yake ndio haya makasiriko tele.Umemjibu kiungwana sana, hakika wewe ni dalali mbobevu, [emoji1490]
Ndio wawekezaji wañakimbia hivyoThe building has 15 flats.
Each flat has 3 bedrooms, ( there's one master bedroom with modern toilets and a fixed cupboard in it ) , a sitting room, dining room , 2 modern toilets and a balcony surrounding the whole flat
Bei Tsh 4.5bilion
0756060183.
View attachment 1751054View attachment 1751056View attachment 1751057View attachment 1751058View attachment 1751059
Kkoo mtaa gani ?The building has 15 flats.
Each flat has 3 bedrooms, ( there's one master bedroom with modern toilets and a fixed cupboard in it ) , a sitting room, dining room , 2 modern toilets and a balcony surrounding the whole flat
Bei Tsh 4.5bilion
0756060183.
View attachment 1751054View attachment 1751056View attachment 1751057View attachment 1751058View attachment 1751059
Mtaa wa faru
Na wewe usiwe kilaza. Mtoa mada sio mmiliki wa jengo Ila Ni dalali Kama wewe tu.Mkuu kaliakoo ni wapi? Au ulimaanisha Kariakoo?
Mkuu unafanya biashara ya zaidi ya 4 billion ila hujui kuandika kariakoo? Nisamehe kama kuna sehemu inaitwa kaliakoo na mimi siijui.
mkuu wekeza tu mweyewe mazingira ni rafiki tu kwa sasaWadau kiwanja bado kipo kwa wale wawekezaji wa APARTMENT nk karibu sana eneo hili linafaa sana kwa biashara
Hahaa tatizo hela mkuu...kweli mawazo mazuri ya hiyo biashara ninayo,,na unajua kama huna hela bora kushirikisha wenzio wenye nazo ili mambo yawe marahisimkuu wekeza tu mweyewe mazingira ni rafiki tu kwa sasa
Bei ina maongezi mkuu karibu sana usiogope kuulizaDuh!..Yaani 1sqm ni zaidi ya 140K?!!.