Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Mkuu kaliakoo ni wapi? Au ulimaanisha Kariakoo?
Mkuu unafanya biashara ya zaidi ya 4 billion ila hujui kuandika kariakoo? Nisamehe kama kuna sehemu inaitwa kaliakoo na mimi siijui.
Vikapuku kwa mashauzi sasa, ukiwa huna hela nyuzi za hela usiwe una comment madhara yake ndio haya makasiriko tele.
Nashukuru sana mkuu kwa usahihi huu nitauzingatia wakati mwingine....haha ila kumbuka matamshi ya makabila yetu yanaharibu kiswahili ila yote kwa yote kikubwa ni kuelewana
Umemjibu kiungwana sana, hakika wewe ni dalali mbobevu, [emoji1490]
 
Mkuu kaliakoo ni wapi? Au ulimaanisha Kariakoo?
Mkuu unafanya biashara ya zaidi ya 4 billion ila hujui kuandika kariakoo? Nisamehe kama kuna sehemu inaitwa kaliakoo na mimi siijui.
Na wewe usiwe kilaza. Mtoa mada sio mmiliki wa jengo Ila Ni dalali Kama wewe tu.
 
Eneo lipo ubungo mawasiliana,ukubwa 2200 SQM
Ndani kuna nyumba za wapangaji na maduka
Bei Tsh 1.5b
Eneo limefc kituo cha daladala mawasiliano.
Maongezi zaidi 0756060183

20210417_113118.jpg
20210417_113114.jpg
20210417_113109.jpg
20210417_113105.jpg
 
Wadau kiwanja bado kipo kwa wale wawekezaji wa APARTMENT nk karibu sana eneo hili linafaa sana kwa biashara
 
Chumba sebule jiko choo,

Nyumba mpya apartment zipo 2 maji umeme vyote unajitegemea bei Tsh 250,000/= kwa mwezi
Maongezi zaidi 0756060183

IMG_20210427_143501_542.jpg
IMG-20210427-WA0015.jpg
IMG-20210427-WA0019.jpg
IMG-20210427-WA0012.jpg
IMG-20210427-WA0013.jpg
IMG-20210427-WA0017.jpg
IMG-20210427-WA0016.jpg
 
Back
Top Bottom