Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Watu bhna Crown Imendikwa nj ya 2010 yeye anakuletea picha ya Crown 2004 af anafananisha price

Hivi sisi wabongo huwezi hata kuuliza utofauti kama una mashaka kusoma huwezi kufanya research huwezi kazi kubwabwaja tu
 
Watu bhna Crown Imendikwa nj ya 2010 yeye anakuletea picha ya Crown 2004 af anafananisha price

Hivi sisi wabongo huwezi hata kuuliza utofauti kama una mashaka kusoma huwezi kufanya research huwezi kazi kubwabwaja tu
Kilazar huyo bwege
 
Hapa ndo nguvu ya soko inapodhihirika.

Yaani IST ina nguvu sana sokoni hapa kwetu. Kwanza inanunuliwa na kila mtu. Inanunuliwa na mama, bibi, mtoto, mrembo nk

Crown inaushawishi mdogo sokoni kwa makundi mbalimbali ya walaji.

Njoo kwenye Brevis πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Ujue kile ni chuma hasa Lkn watu wanakikimbia na bei yake sokoni unalazimika kushuka maradufu. Ila mimi lazima ninunue hiyo Brevis. Service na Uendeshaji una determine matumizi ya mafuta kwa kiasi kikubwa.
 
Hapo sasa tutaenda sawa, kwamba Crown hai hold value yake vizuri katika soko letu sio gari ambayo unaweza re-sale kwa thamani isipokuwa kwa specific people tu!

Ila justification ya kuwa hio Crown inauzwa ghali mi sijaiona gari iliotumiwa miezi 3 haiwezi poteza thamani kwa more than 8M bro! Ni kwamba its marketed to the wrong audience!

Brevis ukiinunua hesabia tu umeshatupa 6M ulioilipia kodi bandarini πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…! Maana ukiingiza sokoni hata week tu baada ya manunuzi watu wanakwambia watakupa 8M πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Ila cha ajabu nina rafiki yangu anaagizaga hizi hizi Crown na kuziuza kwa bei nzuri tu ya faida!

Brevis pia anazipenda sana na anaziuzaga kwa bei ya faida ila gari yake ukiwa mtu wa kujistukia unaweza usiipande maana zinakuwaga safi 24/7 yani! Gari zinakuwa mpya yani kama namba labda ni DWX yani anatembelea mwezi anaisukuma!
 
Wadau naona mnafahamu sana mifumo ya uagizwaji wa magari hapa tz, nimekuwa nikitamani mno kumiliki gari za umeme, EV car mfano Nissan Leaf na wengineo wa bei za kawaida na range za wastani, sasa changamoto ni TRA, nimetuma e-mails hawajibu kunipa makadilio ya gari ambazo hazipo kwenye mfumo wao sababu kuu hazitumii mafuta wala hazina engine, sasa wanatumia formula gani kupigia mahesabu? Sije nikaagiza then nikajuta
 
We agiza ikifika watakadiria pale pale tu
 
BREVIS πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mkuu, hiyo DV.. Hatujui ni DV gani, lkn DV kama DV ina zaidi ya miezi mitatu mtaani.

Kingine Kumbuka hiyo crown hapo juu kama sikosei ni GRS 200. kwa gari ya 2011 kodi yake kwa wakuda wetu Mil. 11+

Na sokoni zipo mpaka za $4500 mpaka Dar, before bargaining. Na kwenye bargaining ukimkodolea macho vizuri Mjapani unapata punguzo hadi $500

Kwa hiyo 22M nakuwa na uhakika wa hadi pesa ya wale TBS, mafuta nk.
 
Hebu niagizie mkuu maana nina 22M cash staki habari za kusema imekwamaπŸ˜…
 
We agiza ikifika watakadiria pale pale tu
Watu hatujui hakuna gari zenye performance kama gari za umeme, na ni cheap ku run, gari nyingi zina range ya kuanzia km 150 per charge, wenzetu kenya hapo wameanza zitumia ila bongo kimya zaidi ya pikipiki na baiskeli za kuchaji, tuwaoga kwenye teknolojia
 
Mkuu kwanini asiende Makao makuu kuuliza jambo hilo??
Mi naona aende tu sababu kwa hali hii ya petroli litre kuuzwa 2500 kuna haja ya kuhamia fully electric now! Ukipata gari yenye range ya 200KM kwa matumizi ya mjini tu ni very efficient
 
Nilikuwa kwa madiba niliziona aisee
 
Mkuu hiyo gari 22m huwezi kuagiza na kuipata na uzuri kila kitu kiko kwenye mtandao unaweza kuchk bei zake na jumlisha na kodi nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…