dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
- Thread starter
-
- #1,361
Hamnashida mkuu ila nakushauri uje uone saivi kwanza halafu usubri kipindi cha mvua uje tenaNgoja tusubiri kipindi Cha mvua kwanza
Ni hela mkuu ila karibu uone nyumba then utaongea na mwenyewe anaweza kukupunguziaNina 80mil
Hyo nne milion itakuwa ya dalali lazima.Hichi kiwanja nimekiona Linkedin kinauzwa 18m...humu ndani kimepanda mpaka 22m. 4m on top of it just kwakua JF kuna mpunga...anyway GoodLuck boss
Mkuu bei zina maongezi usiogope we njoo uone kiwanja thn ukutane na mwenyewe mtayajengaHichi kiwanja nimekiona Linkedin kinauzwa 18m...humu ndani kimepanda mpaka 22m. 4m on top of it just kwakua JF kuna mpunga...anyway GoodLuck boss
Na aliekipost Linkedin nae ni dalalali vile vile...kwa calculation ya haraka haraka hiki kiwanja kitakua 12-15m...madalali wanaweka cha juu juu ya daladali aliewapa mchongo, and the chain goes up.Hyo nne milion itakuwa ya dalali lazima.
Hapana mkuu me nakula commission tu ya kawaidaHyo nne milion itakuwa ya dalali lazima.
Sasa Mkuu si bora niende kwa dalali alianzia 18m, ili tuanze kushushana kuanzia hapo..Sasa wewe umeanzia 22m tuongee hadi tuje tufike 18m, then nikushushe chini ya hapo, it wont be fair.Mkuu bei zina maongezi usiogope we njoo uone kiwanja thn ukutane na mwenyewe mtayajenga
Madalali Wana mambo mengi nashauri serikali iwasajili na mtoe Kodi pia kuepusha utapeliHapana mkuu me nakula commission tu ya kawaida
Mkuu wengine tumesajiliwa usijali kuhusu hiliMadalali Wana mambo mengi nashauri serikali iwasajili na mtoe Kodi pia kuepusha utapeli
Hamnashida mkuu..uchaguzi ni wako ila waswahili tunasema ya rahisi ni ghari na ya ghari ni rahisiSasa Mkuu si bora niende kwa dalali alianzia 18m, ili tuanze kushushana kuanzia hapo..Sasa wewe umeanzia 22m tuongee hadi tuje tufike 18m, then nikushushe chini ya hapo, it wont be fair.
Kweli kabisa sana aiseehMchawi bei tu hapo ila kinaonekana kipo sehemu nzuri
Hapana utaongeza hela mkuuUkiwa na 10m unakibeba...