dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
- Thread starter
- #121
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee bado uko na mimi tu 😂😂😂😂😂😂😂Mi nishajua kwamba mwenye kutaka kuelewa ameshaelewa... na ndio maana wengi wanamuuliza sasa anacheka nini, hakuna cha maana anachojibu nami nikaamua kuachana nae!!!
Sasa mbona kwenye kichwa cha habari umesema UNUNIO afu ndani ya maelezo yako umetamka kunduchi,bahari beach alafu km 15 mpaka ununio.Nyumba ina vyumba 6 na kati ya hivyo 3 ni self nk
Eneo la kiwanja ni 4,000 SQM
Ni nyumba ya pili kutoka lami.
Bei Tsh 850m bei hii ina maongezi na zaidi pia tunasikiliza ofa ya mteja.
Nyumba ipo Dsm kunduchi ,Bahari beach na baaada ya hapo Ununio ni mwendo wa km 15 kutoka mwenyewe.
Maongezi zaidi 0756060183
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuu kwa maoni yako.ila hayo maelezo yako kwenye comment ya mdau niliyekuwa namuaelekeza namna ya kufika Ununio nyumba ilipoSasa mbona kwenye kichwa cha habari umesema UNUNIO afu ndani ya maelezo yako umetamka kunduchi,bahari beach alafu km 15 mpaka ununio.
Shame on you dalali uchwara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ununio ni eneo ambalo liko mwambao mwa Bahari na limepimwa vzr na cha ziada ni kwamba kumejengeka vzr na kwa mpangilioUnunio ina kitu gani cha kuwafanya watu waijue!
Sawa mkuu na asante kwa maoni yako.Hizo milioni 85 kushawahi kuziona na kuzishika au unasema tuu huu siyo voo msimu wa kikwete iliyokua tukila bata
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu nitamfikishiamwambie mwenye Mali kuna 15m iko mfuko wa shati hapa.
Haa haa. Wewe jamaa utakuwa unajua kusoma sana saikolojia ya maskini wa JF wavyochangia kwenye nyuzi za bidhaa za bei kubwa. Salute!Mzee bado uko na mimi tu 😂😂😂😂😂😂😂
Mungu kwa nini katupa huu umasikini jamani. Jumba linatafta mnunuzi maskini tumebaki kulumbana tu 😂😂😂😂😂😂
Mzee baba umeshaambiwa sisi maskini wa humu JF tutakupigia kelele ukawa hauamini nadhani unajionea sasa,mtu anauliza ununio kuna gani cha kuifanya waijue,hahah.Ununio ni eneo ambalo liko mwambao mwa Bahari na limepimwa vzr na cha ziada ni kwamba kumejengeka vzr na kwa mpangilio
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona kwenye kichwa cha habari umesema UNUNIO afu ndani ya maelezo yako umetamka kunduchi,bahari beach alafu km 15 mpaka ununio.
Shame on you dalali uchwara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani ndo wale masikini wa humu wanaoongelewa. Mi nadhani hata kama tangazo lina mapungufu ni swala la kuomba ufafanuzi aidha hapa jukwaani au una mfata muhusika pm. Sasa mtu anapo tukana si ndo ule umaskini baadhi ya members wamemtahadharisha Muheshimiwa dalali mwanzoni kabisa mwa michango
Nadhani ndo wale masikini wa humu wanaoongelewa. Mi nadhani hata kama tangazo lina mapungufu ni swala la kuomba ufafanuzi aidha hapa jukwaani au una mfata muhusika pm. Sasa mtu anapo tukana si ndo ule umaskini baadhi ya members wamemtahadharisha Muheshimiwa dalali mwanzoni kabisa mwa michango
Naona kule umetoka nduki umekimbilia huku... Haya Tajiri wa JF nenda kajibu maswali ambayo nimekuuliza kwenye ile mada yetu!!!Haa haa. Wewe jamaa utakuwa unajua kusoma sana saikolojia ya maskini wa JF wavyochangia kwenye nyuzi za bidhaa za bei kubwa. Salute!
Nimetupa jiwe gizani nasikia mtu anaangua kilio. Nitakusaidiaje ndugu yangu?Naona kule umetoka nduki umekimbilia huku... Haya Tajiri wa JF nenda kajibu maswali ambayo nimekuuliza kwenye ile mada yetu!!!
Ndio ivyo mkuu watu tunatofautiana sana uelewa, sema jambo la maana ni kuvumiliana tu hakuna namna nyingineNadhani ndo wale masikini wa humu wanaoongelewa. Mi nadhani hata kama tangazo lina mapungufu ni swala la kuomba ufafanuzi aidha hapa jukwaani au una mfata muhusika pm. Sasa mtu anapo tukana si ndo ule umaskini baadhi ya members wamemtahadharisha Muheshimiwa dalali mwanzoni kabisa mwa michango