dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
- Thread starter
-
- #1,541
Around mitaa ya nyuki kipo jirani na ofc za Tanesco tegetaNi nyuki au kibaoni?
Ndio mkuuHilo banda lipo ndani ya Kiwanis, au?
Karibu mkuu tukuuzie kiwanja bei hii sio ya kifisadi kabisa..hahaaMafisadi na majizi mlioko huko serikalini kiwanja hicho kinauzwa,,,mnakaribishwa
Karibu mkuu tukuuzie kiwanja bei hii sio ya kifisadi kabisa..hahaa
Hahaa Utalipa kidogo kidogo mkuu.halafu nina vingine vya bei nafuu bunju ukivuka daraja 25mita kwa 30mita bei 8mHahhaaa nashukuru mkuu doville,,,hella ngumu nduguyangu.
kwa nini huchukui cheki ?Bei Tsh: 70 Million Cash
Bunju ukivuka daraja lipi mkuu?Hahaa Utalipa kidogo kidogo mkuu.halafu nina vingine vya bei nafuu bunju ukivuka daraja 25mita kwa 30mita bei 8m
Na mwabepande 800 sqm na kina hati bei 18m
Hapana mkuu maskini bado tunajichanga endelea kuleta hizo hozo za 20 tuu .Wadau nimeleta kazi ya bei rahisi nayo mnaichunia au nitume za mabilioni ?
Mimi nina kiwanja changu kipo Kunduchi 21 kwa 22 bei Mil 40.
Kinamsingi.ni dakika kumi kutoka rami,gari hadi mlangoni njoo pm kwa biashara kama upo tayari
Hahaa duh umetisha mkuukwa nini huchukui cheki ?
hizo hela ni nyingi sana kubeba mtaani na kuhesabiana cash
Asant mkuuMkuu,,anzisha thread yako. Hii tayali ina mwenyewe babaa
Daraja la mapinga.Bunju ukivuka daraja lipi mkuu?