Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Kweli na huo ni wajibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona kama naona kuna NYUMBA mbili hapo moja kama floor na nyingine flat au makengeza yangu?au umepigiga side view?
 
Nyumba ya ghorofa inauzwa Ununio.

Sifa zake ni:
  • Ina ina vyumba vitano vya kulala na kati ya hivyo 2 ni self.
  • Na pia kuna nyumba ndogo yenye vyumba 2 na choo chake
  • Size plot 1000 SQM
Bei: 450m bei hii ina maongezi.

More information call me 0756060183



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyumba ina vyumba vitano na kati ya hivyo 2 ni self.
Na pia kuna nyumba ya chumba na sebule na choo chake kwa nyuma.

Size plot 1000 SQM
Bei 450m

Bei hii ina maongezi
Na zaidi ongea nami kwa 0756060183



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chuma ya kazi iko kwenye hali nzuri sana na imekaza kila mahali na iko tayari kwa safari mahali popote.132,028km

Bei yake 8.5m
Gari iko DSM

Maongezi zaidi 0756060183


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • 20200524_163754.jpg
    117.8 KB · Views: 10
Plot inauzwa ipo Goba jirani na Goba Sheli. Ina ukubwa wa 3.16 Acres fenced. Ina title deed... Bei Tzs million 800 maongezi yapo
Panafaa kujenga shopping mall.

Maongezi zaidi +255756060183.

 
Mmh... hii bei, mbona kama tupo kwenye makutano ya lindi na swahili...

Watakuja mkuu, biashara njema.
Hahaa mkuu siunajua heka 3 na nusu hizi na eneo lililopo liko kibiashara.. ila bei hii ina maongezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…