mkongwensibi
Senior Member
- Feb 1, 2022
- 133
- 215
Saivi swala la hati si shida tena mkuu maana process zote za awali zimeshafanyikaHati muhimu ndugu
Hahaaa ndio tunatafuta jirani mkuuTangazo ulivyolipamba sasa mkuu duuh..kama maeneo ya matajiri na wanaojiweza,kwa nin hao matajiri wa apo wameshndwa kulinunua??.
Hahaaa we jamaa sidhani ila kama una picha tuma hapa tuone.Kwa pesa hiyo unapata nyumba 2 kali mitaa ya ushuani Cape town karibu na beach [emoji3553][emoji2513]
Hahaa mkuu nione nina plot za bei tofati tofauti kuanzia 5m na nyumba za bei kuanzia 15mHaya wale wa milioni 900 plot hiyoo [emoji16] wengine acha 2enderee vinyumba vya kupanga
Hizi plot za million tano ziko wapiHahaa mkuu nione nina plot za bei tofati tofauti kuanzia 5m na nyumba za bei kuanzia 15m
Ninazo mapinga, madale mbopo, kialaka ukivuka daraja la bunju na bagamoyo, maeneo tofaut todaut mkuu hata goba hii nakupatia au bunju.Hizi plot za million tano ziko wapi
Goba vinakiwa na ukubwa gani. Vimepimwa?Ninazo mapinga, madale mbopo, kialaka ukivuka daraja la bunju na bagamoyo, maeneo tofaut todaut mkuu hata goba hii nakupatia au bunju.
Sema ili upate kikubwa na kimekaa vzr kwa bei hii usogee uje madale mbopo hapa utapata mita 25 kwa 20.Goba vinakiwa na ukubwa gani. Vimepimwa?
Hahaa umeona eeh mkuuAisee plot Dola laki nne, haya ngoja Madon na Mapedeshee waje.
Karibu sana mkuuSawa ngoja nipite...
@download.insHaya wale wa milioni 900 plot hiyoo [emoji16] wengine acha 2enderee vinyumba vya kupanga