Sometimes inabidi uuze ulichonacho ili ku-meet some obligations!Hapo Sawa, nakubali, Kama pana wapangaji na inalipa Ni Sawa, Ila Kwa nini sasa Huyoauze Kama kuna Faida? Au anapitia kipindi kigumu?
Kweli kabisa mkuuSometimes inabidi uuze ulichonacho ili ku-meet some obligations!
Tatizo ni kwamba, baada ya Serikali kuhamia Dom tayari Wafanyabiashara wa Dom wanadhani Dom ndo ishakuwa Dar kumbe Dar bado itabaki kuwa Dar tu, na bei za Dar haziwezi kufanana na sehemu yoyote Tanzania hii!
Dar competitor wake kwenye real estate industry ni majiji kama Nairobi!!
Hahaa halafu vyumba 2 tu vya kulala mkuuMshahara wa mtu mwenye degree...aloooo wenye hela HONGERENI sana
Me nikidhani ghorofa lote HiloHahaa halafu vyumba 2 tu vya kulala mkuu
Hahaa nani akupe mkuu! Humo kwenye jengo ziko mbiliMe nikidhani ghorofa lote Hilo
Na hata hiyo nyumba ya mil 700 itakua sio ya kawaida ni ikulu ndogo.Wenye hela hawawazi, ila sisi wakina pangu pakavu tia mchuzi, hiyo B 1.7 ishaangukia kwenye mahesabu mengine.. Hiyo point saba tu napata bonge la kiwanja kibada na kujenga mjengo zaidi ya huo, halafu B 1, inapangiwa matumizi mengine
[emoji23]
Umaskini mbaya saana[emoji1787]
Hio nyumba ya 90shapo inabidi uwe na 1.7 bil X 2, kubomoa na kujenga tena, manake ghorofa utadhani zahanati maalum ya kupima na kupambana na UVIKO-19
Hapo wananunua kiwanja wanaweka apartments.Wenye hela hawawazi, ila sisi wakina pangu pakavu tia mchuzi, hiyo B 1.7 ishaangukia kwenye mahesabu mengine.. Hiyo point saba tu napata bonge la kiwanja kibada na kujenga mjengo zaidi ya huo, halafu B 1, inapangiwa matumizi mengine
😂
Umaskini mbaya saana🤣