dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
- Thread starter
-
- #1,921
Ni kweli ila saivi itauzika tu maana tumeshaanza kupata wateja tunaongea nao.hamna cha juu ndg yangu tunauza bei ya mwenye nyumba na mwisho wa siku muuzaji na mteja watakutana na kuongea wenyewe..me changu hapo ni commission tena kwa kujadiriana kwa pande zote tatu.Hii nyumba Bw Dalali tangu Mwaka Jana mwezi wa 11 ,haijauzika tatizo Nini,umeongeza Cha juu Sana ,au Ni mambo ya mfuko hayajakaw sawa
Hahaa usiogope mkuuu jichange uishi kitajirinilivyoona heading tu, wala sikufungua uzi
Hahaaa we jamaa ni shida jumba la kibabe kabisa hili unaita jela?Hapa kinauzwa kiwanja tu mtu mwenye bil. 1.7 hawezi kuishi kwenye hiyo jela.
Na zinalipa kweli yaaniHapo wananunua kiwanja wanaweka apartments.
Mungu atusaidie sana ndg yanguWenye hela hawawazi, ila sisi wakina pangu pakavu tia mchuzi, hiyo B 1.7 ishaangukia kwenye mahesabu mengine.. Hiyo point saba tu napata bonge la kiwanja kibada na kujenga mjengo zaidi ya huo, halafu B 1, inapangiwa matumizi mengine
[emoji23]
Umaskini mbaya saana[emoji1787]
Na pia ninazo mkuu nauza mpaka 150m maeneo mengine laknNa hata hiyo nyumba ya mil 700 itakua sio ya kawaida ni ikulu ndogo.
Nyumba nyingi za ghorofa nzuri unazoona ni around 350m, Sasa fikiria hiyo ya mil 700
Shukrani mkuuAsante kwa tangazo zuri...
Jumba kali la 300M ukiongezea 100M ni landscape za maana na garden pamoja na makeke mengine mzee yani panakuwa kama kiji mansion cha aina yake. Uwanja wa kutosha pool, basketball court, Recreations za kutoshaWenye hela hawawazi, ila sisi wakina pangu pakavu tia mchuzi, hiyo B 1.7 ishaangukia kwenye mahesabu mengine.. Hiyo point saba tu napata bonge la kiwanja kibada na kujenga mjengo zaidi ya huo, halafu B 1...🤣
Kabisa mkuu na unaungana na na matajiri wenzio kuishi kitajiribillion zako 1.7 unaamia zako masaki kibingwa kabisa
Kabisa mkuuKweli vidole haviringani!
Asante sana mkuuAhsante Kwa taarifa...
Mkuu kinachouza sio nyumba bali ni eneo nyumba ilipo.Kuna kitu huwa sielewi kwa hawa watu wanajiita madalali, hivi kweli nyumba hiyo ni billion 1.7? Hebu tuwe wa kweli, karne hii unanunua nyumba kama hiyo 1.7 B wakati unaweza jenga nyumba nzuri zaidi ya hiyo kwa million 500 tu
Tafuta hela mkuu uache kuambia watu wawe wakweli.Kuna kitu huwa sielewi kwa hawa watu wanajiita madalali, hivi kweli nyumba hiyo ni billion 1.7? Hebu tuwe wa kweli, karne hii unanunua nyumba kama hiyo 1.7 B wakati unaweza jenga nyumba nzuri zaidi ya hiyo kwa million 500 tu
Ni kweli inawezekana ila pia usisahau na sisi Tanzania haya ndio maeneo yetu ya ghari na yaliyotengwa kuishi matajiri..ukisema unapata nyumba Ulaya inategemea ni eneo gani Ulaya!Hiv unajua kwa pesa hiyo unapata nyumba ulaya(cyprus,portugal,Austira) na kupewa uraia kabisa
Umaskin mbaya sana
Nawaambia wawe wa kweli sababu ninaishi nilichokiandika, huo uchafu sio wa 1.7B, wewe nikikuonesha nyumba yangu ya 500m utataka mwenyewe, regardless ya jinsia yako nikuoeTafuta hela mkuu uache kuambia watu wawe wakweli.
Mkuu nyumba yako umejengea wapi?Nawaambia wawe wa kweli sababu ninaishi nilichokiandika, huo uchafu sio wa 1.7B, wewe nikikuonesha nyumba yangu ya 500m utataka mwenyewe, regardless ya jinsia yako nikuoe