Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Nyumba mpya ya kisasa inauzwa ipo Bahari beach
Vyumba 4 vyote ni self
Sevent couteter ya vyumba 2 self
swiming pool ipo

Bei 450,000 usd
Size plot 2200 SQM

Maongezi zaidi nipigie 0756060183
IMG_20200702_184542_003.jpg
IMG-20200702-WA0014.jpg
IMG-20200702-WA0016.jpg
IMG-20200702-WA0219.jpg
IMG-20200702-WA0010.jpg
IMG-20200702-WA0218.jpg
IMG-20200702-WA0238.jpg
 
Nyumba bado finishing, ina vyumba 4 na vyote ni self
Sting room,dining room,kitchen
Nk
Size plot 1200 SQM
Bei ya chapchap Tsh 89m
Maongezi zaidi 0756060183
IMG-20200706-WA0203.jpg

 
Nyumba bado finishing, ina vyumba 4 na vyote ni self
Sting room,dining room,kitchen
Nk
Size plot 1200 SQM
Bei ya chapchap Tsh 89m
Maongezi zaidi 0756060183
View attachment 1499505
View attachment 1499507
Madalali jaribuni kufanyaga reserach ya kile mnachokiuza, lasivyo mnajiabisha sana. Ndio sababu ya hii fani 7ya udalali kuonekana ya watu fulan hivi njaa njaa wasio na elimu bali maneno meeengiiii.

Unakuta dalali kasikia tu jina la gari likitamkwa haria nae fasta anatangaza kwa maandishi kabisa kua anauza Toyota Haria. Mwengine anakuambia kuna Toyota Civilian inauzwa bila kujua kua Civilian ni jamii ya Nissan, sio Toyota.

Hakuna eneo linaloitwa Mbweni Mwoga, bali kuna MOGA linalotokana na Shule ya MOGA iliyoko hapo.
 
Madalali jaribuni kufanyaga reserach ya kile mnachokiuza, lasivyo mnajiabisha sana. Ndio sababu ya hii fani 7ya udalali kuonekana ya watu fulan hivi njaa njaa wasio na elimu bali maneno meeengiiii.

Unakuta dalali kasikia tu jina la gari likitamkwa haria nae fasta anatangaza kwa maandishi kabisa kua anauza Toyota Haria. Mwengine anakuambia kuna Toyota Civilian inauzwa bila kujua kua Civilian ni jamii ya Nissan, sio Toyota.

Hakuna eneo linaloitwa Mbweni Mwoga, bali kuna MOGA linalotokana na Shule ya MOGA iliyoko hapo.
Sawa mkuu na asante kwa usahihi ni kweli ni Moga ila kikubwa hapa ni kuelewana kuwa nyumba iko eneo gani..haya mengine uliyoyaanisha ninakushikuru sana wakati mwingine tutazingatia maelekezo
 
Back
Top Bottom