Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu fanya uje nikuonyeshe inawezekana ukiongeza kidogo.50 haipendezi?
Hahaaa hii ndio ya bei chee mkuu, jisogeze uishi kipapaa65milion??
Uchumi wa Kati
Mtatuua wakuu au hatustaili kukaa kwenye hizo kwiyooooo[emoji239][emoji1658][emoji1659]
Pamoja na plot1,500sqm ni eneo la nyumba tu au ni pamoja na hiyo “plot ya pembeni”?
Kweli kabisa mkuu,mtafutaji hakati tamaa hata siku mojaAise imekaa vyema ngoja tuzidi kupambana one day yes.
Karibu mkuu uone nyumba tupambane nae280 vp?
Hahaa asant mkuu! Karibu umiliki hekalu hili .Bora leo kabei kamepungua.Sio ile ya majuzi eti Bilioni!
Kodi zipo tu mbona mkuu! Sema kuuza kulikuwepo hata kabla ya uhuru.Uchumi wa Kati
Kodi zake mijengo hii Bora uiteme fasta
Duh mkuu uko vzr ila hii inakubidi ujivute zaidi au nikupe hii hapa chini na ubakiwe na pesa ya kufanyia finishingkula 100 baba la baba!
HahahahaaDuh mkuu uko vzr ila hii inakubidi ujivute zaidi au nikupe hii hapa chini na ubakiwe na pesa ya kufanyia finishing View attachment 1508738
[emoji23][emoji23] pamoja sana mkuuHahahahaa
Mkuu nilikua nakutania tu,si unajua nilikua nachangamsha kijiwe!
Ule mjengo sio wa hela nyepesi!