Msaidizi Mkuu
Senior Member
- Aug 19, 2020
- 195
- 154
HahahaaMbona anauza ghali Sana ... Milioni 1 ziwe mia 200 na milioni zingine 50.. au kwa kuwa Ni goba? Iyo nyumba chamanzi Ni nchini ya milioni 100
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaMbona anauza ghali Sana ... Milioni 1 ziwe mia 200 na milioni zingine 50.. au kwa kuwa Ni goba? Iyo nyumba chamanzi Ni nchini ya milioni 100
Mkuu wakati huu sidhani kama kuna mwenye mali yake anaweza kukubali uuze cha juu kiasi hicho!Tatizo la mdalali huwa wanataka kula pesa kubwa zaidi ya mara 2 ya bei husika.
Nikuibie siri wewe dalali uchwara, punguza bei yani wewe focus kupata mil 1 au 2 tu kwenye kiwanja husika utapiga sana pesa.
Hilo shamba najua bei halisi haizidi mil 5 ila kwa tamaa unataka upige mara 2.
Hahaa kwamba atambe au sio?? Daaah too fun aseeKwa mujibu wa elimu yangu uko sahihi kabisa mkuu tembea kifua mbereee
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
JF shida inaanziaga hapo unatoa post ina kasoro, ndio inakua mada.Kwa mujibu wa elimu yangu uko sahihi kabisa mkuu tembea kifua mbereee
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Ndio ivyo mkuu inabidi tuvumiliane tu maana hakuna namnaJF shida inaanziaga hapo unatoa post ina kasoro, ndio inakua mada.
Lengo la post watu wanalitupilia mbali.
Asante mkuu kwa usahihiNi negotiable sio negotiated au mimi ndo sijui.........kama ingekuwa negotiated maana yake kishauzwa...
Imefika ngapi? Maana naona ulikua unafanya utani kwa bei ile.Nimepunguza bei ya kiwanja
Hahaaaa saiv ukinipatia 9.5m nakuuzia fastaImefika ngapi? Maana naona ulikua unafanya utani kwa bei ile.
Nikupe 9.5 halafu nijengee na nin?Hahaaaa saiv ukinipatia 9.5m nakuuzia fasta
Pw sana mkuu na karibu sanaJumba kama Jumbaa[emoji7][emoji7] nimelielewaa
Ahsante kwa picha
Hahaaa utakuwa unanipigia cm nikuleteeeNikiishi hapa nitamiss maisha ya kuombana chumvi.
Hahaaa aiseeh umetishajumba kali kama la kifalme la mashahidi