Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pw sana mkuu
Pw sana mkuu
Hii hapa mkuu iko bunju inatakiwa 60m
Kama bado bei ziko juu nambie nitume nyingine View attachment 1614439View attachment 1614440
Karibu mkuu kwa elimu zaidi hmanshida unaweza kuelimisha hapaSamahani mkuu, unaelewa maana ya ‘reasonable' bei?
Ila ina maongeziTsh 800M
Hahaa tunapakana nae hapa nyumba inayofuata ni ya kwakweMpelekee Mo
Mkuu mabei ndio yamesimama hivyo mkuuHivi Haya Mabei Bado Yapo??? Mzee hizi ni Bei za Kununua Nyumba siku hizi sio kiwanja..Anyway naKutakia heri
Mkuuu be Speicif, mara umekubaliana na mwenye kiwanja akapunguza utauza Mil 9.8 then bado unatangaza kuuza Mil 12. Which is which?Nauza kiwanja kizuri sana Kigamboni Dege Mtaa wa tatu kutoka Lami
Viwanja maneo hayo vyote vimepimwa.
Ukubwa 700 SQM
Bei Tsh 12
Mkuu bei ina maongezi,karibu uone kiwanja utupe ofa yako tujadiriane na mwenyewe, hii ya bei tofauti isikupeshidaMkuuu be Speicif, mara umekubaliana na mwenye kiwanja akapunguza utauza Mil 9.8 then bado unatangaza kuuza Mil 12. Which is which?