dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
- Thread starter
- #701
Maisha yanatofautiana mkuuDah.., yaani iyo 'M' ni zero ziwe 6. Mawee...!! Sijawahi kufikiria, Wengine ingekuwa 'L' yaani laki yenye zero 5 ningejaribu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha yanatofautiana mkuuDah.., yaani iyo 'M' ni zero ziwe 6. Mawee...!! Sijawahi kufikiria, Wengine ingekuwa 'L' yaani laki yenye zero 5 ningejaribu
Wewe ni dalali wa viwanja ndugu?Hiyo mkuu ni kodi ya kupanga nyumba kwa mwaka mmoja maeneo haya.
Ila viwanja ninavyo vya bei hiyo meneo mengine tofauti na haya ya ununio. Kwa ofa yako karibu sana bunju,mapinga, goba,mabwepande, madale, kigamboni
Mita 180 mkuuHivi hiyo 'M' hapo mbele ya 180 imesimama badala ya neno gani?
Mimi ni Dalali mkuu ila bei hizi ni za wenyeweWewe ni dalali wa viwanja ndugu?
Niseme tuu ukweli, madalali mnaharibu sana uchumi wa nchi. Mnapandisha sana bei za vitu.
Niishie hapa, ikiwa wewe sio dalali haikuhusu ipotezee
Mjini tu hapo mzee baba we njoo umiliki ArdhiHapo Mjini au Mlingotini???[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Lazima niwe na eneo Mbweni
Pamoja sana mkuu
Tuwasiliane mkuu..nichk kwenye hiyo no tuyajengeOffer yako ngapi. Ipo ya dola 160,000 karibu na kwa Bakhresa along Chile road
Pamoja sana mkuuAhsante ngoja nione kidogo.
Inahitajika Masaki,Ostabey na upangaIpo mikocheni
Sawa mkuu