dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
- Thread starter
- #1,281
Ongeza 0 moja hapo mkuuNina $560k naweza kuuuziwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongeza 0 moja hapo mkuuNina $560k naweza kuuuziwa?
Wacha nimshtue jamaa yangu wa FOREX tuchukue gheto hiloNyumba nzr ya kisasa inauzwa ipo mbezi beach mtaa wapili kutoka beach..vyumba 5 vyote self. Ukubwa wa kiwanja 2000 sqm bei 600,000$
Maongezi zaidi 0756060183View attachment 1890094View attachment 1890095
Kwamba iwe $5600$??Ongeza 0 moja hapo mkuu
Nyumba/ apartment nzr ya kisasa Dodoma inauzwa
Ipo kisasa ziko 3 kwenye compound
Kila moja ina vyumba 3 self
Size plot 1200 SQM na imefc lami
Bei Tsh 350m
Maongezi zaidi 0756060183View attachment 1891347View attachment 1891348View attachment 1891349View attachment 1891350
Ngoja tusubri mkuuNgoja waje kukupa muongozo
Karibu mkuu uone nyumba kwa macho , hizi ni picha tu zisikutisheUna wazimu nini? Hiyo sasa ni picha ya apartment? Hapo mwizi akitupa jiwe, tayari yuko chumbani!
Aiseeh tunammis mzee babaKwa sasa hata magari zenye plate namba za Mawaziri hazipo kiviiiile
Karibu mkuu uone nyumba kwa macho , hizi ni picha tu zisikutishe
OK sawa mkuu.Wala sihitaji kuwa Dom kujua kuwa hiyo siyo apartment.
Ndio mkuuNyumba zote 3 ndio 350M au 1?
Kwahyo mkuu ushauri wako tungeuza ngapi?Mil 350, ukimaanisha kila nyumba ni mil 115
Hapana aisee, hakuna nyumba ya mil 100 hapo.