Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aje tu mkuu mazingiara ya nje pia yako vzr eneo hili limepimwa na majirani pia wamejenga vzrKama mzigo upo makushauri uisache, kuna uzuri nimeuona hapo, labda mazingira ya nje na majirani yawe ovyo.
Huyu ni nani aiseeh? Ila fanya kuja kutembelea tu hata tukupe ramani utajakujenga hata siku zijazo kama sio saiviHiyo nyumba kama ya sachque[emoji41][emoji41]
Hii ni nyumba?Nyumba inauzwa salasala Kinzudi
Nyumba ina vyumba 3 kimoja ni self.
Size plot 450 SQM
Nimepunguza bei kwa 30% sasa unaweza kuiwahi kwa:-
Bei Tsh 19.5m
Maongezi zaidi 0756060183View attachment 1990484View attachment 1990487View attachment 1990488
Namimi nashangaaHii ni nyumba?
Wewe unaona nini mkuu?Hii ni nyumba?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ni nyumba?
Pagale... yaani ujenzi bado haujakamilikaWewe unaona nini mkuu?
Aisee...
Mkuu hii imeisha na watu wanaishi ndani kwahyo mambo mengine utafanya wewe au atakayenunua na ndio maana unaona na bei imepungua kiasi hichoPagale... yaani ujenzi bado haujakamilika
Karibu mkuu uje uione kwanza mengine yanazunhumzika
Karibu mkuu mengine yanazungumzika
Karibu pia mkuiAisee...
Ni wewe umepunguza hiyo bei kwa 30% au mwenyenyumba?Nyumba inauzwa salasala Kinzudi
Nyumba ina vyumba 3 kimoja ni self.
Size plot 450 SQM
Nimepunguza bei kwa 30% sasa unaweza kuiwahi kwa:-
Bei Tsh 19.5m
Maongezi zaidi 0756060183
View attachment 1990484View attachment 1990487View attachment 1990488