Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Alikuwa anajenga ghafla katikati ya ujenzi anaamua kuuza. Kwa nini?

Wateja zako wakati mwingine wawe wanakupa na sababu wanapouza majengo kama hayo ili kupunguza mashaka kwa wateja tarajiwa.
 
Reason ya kuuza Ili tusiingie mkenge.
1.Mdaiwa wa benki?
2.Mgogoro wa familia?
3.Kubadili biashara?
4.Madeni yamezidi?
5.Uwanja una mgogoro?
6.Umiliki una mgogoro?
7.Umeamua kumrejea Mungu kwa kuachana na mkataba na shetani
8.Biashara ngumu?
9.
Duh
 
NYUMBA YA GHOROFA INAUZWA BUNJU

Nyumba bado haijaisha ila imefikia hatua ya kuezeka na finishing
Ina vyumba 4 vikubwa vya kulala vyote ni self

#Stingroom#Dainingroom#kitchen#pupublicktoilet# juu pia kuna stingroom ndogo nk
Chini chumba kimoja self na juu vyumba 3 self
Ramani ya nyumba ni nzr na ni ya kisasa zaidi
Mitaa mizuri na majirani wamejenga vizuri na majengo mapya
Kiwanja kimepimwa na kuna hati
Suze plot 700 SQM
BEI Tsh 195m
Maongezi zaidi 0756060183

View attachment 2348306
hii sawa kabisa
 
Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa ipo Mbweni Moga ya tatu (3) kutoka kwenye lami. Ramani ya nyumba hii ni (American architectural). Hii nyumba ya kuamia tu hugusi kitu.... Halafu iko jirani na wakuu tofauti tofauti wa ulinzi na usalama...

Nyumba contained, fully A/c, garden nzuri sana, plot sized: 1,350 sqm ina title deed.
- Bei TZS. 1.3 billion maongezi yapo

Mawasiliano zaidi 0756060183View attachment 2342422View attachment 2342423View attachment 2342424View attachment 2342425View attachment 2342426View attachment 2342427View attachment 2342428View attachment 2342429View attachment 2342430View attachment 2342431View attachment 2342432View attachment 2342433View attachment 2342434
hii sawa kabisa
 
NYUMBA NZURI YA GHOROFA INAUZWA SALASALA MTAA WA PILI KUTOKA KWENYE LAMI.

Nyumba ina vyumba 6 vyote ni self, sttingroom,Dainingroom, Kitchen&Public Toilet
Nk
Na pia kuna nyumba ndogo za wafanya kazi, wageni nk na zote zina vyumba 3 na jiko na vyoo nk
Size plot 4000 SQM
Hati ipo
Bei Tsh 850m

Maongezi zaidi 0756060183
20230323_135148.jpg
20230318_110503.jpg
20230318_110718.jpg
20230318_110227.jpg
20230318_110402.jpg
 
JENGO ZURI LA APARTMENTS 4 LINAUZWA BAHARI BEACH

Apartments Zipo 4 upende mmoja zina vyumba 3 self, sttingroom,Dainingroom, kitchen

Na upande mwingine ziko mbili kila moja ina vyumba 2 self contained
Sitting room, dining room, kitchen nk
Size plot 1700 SQM
Jengo bado ni jipya
Mtaa wa pili kutoka lami

Bei Tsh 650m

Maongezi zaidi 0756060183
20230318_113856.jpg
20230318_113745.jpg
20230318_113858.jpg
20230318_113740.jpg
20230318_113607.jpg
 
NYUMBA INAUZWA IPO MBWENI MISSION

Nyumba ina vyumba 3 self contained,sttingroom,Dainingroom, kitchen nk
Hati ipo
Size plot 850 sqm
Bei Tsh 85

Maongezi zaidi 0756060183
20230321_171303.jpg
20230321_171300.jpg
20230321_141831.jpg
 
NYUMBA NZURI YA GHOROFA INAUZWA SALASALA MTAA WA PILI KUTOKA KWENYE LAMI.

Nyumba ina vyumba 6 vyote ni self, sttingroom,Dainingroom, Kitchen&Public Toilet
Nk
Na pia kuna nyumba ndogo za wafanya kazi, wageni nk na zote zina vyumba 3 na jiko na vyoo nk
Size plot 4000 SQM
Hati ipo
Bei Tsh 850m

Maongezi zaidi 0756060183View attachment 2562968View attachment 2562969View attachment 2562970View attachment 2562971View attachment 2562972
Nyumba kubwa nipeleke wapi kwani mimi TEMBO!
 
Back
Top Bottom