Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huko ndo kuna hayo mabwawaa??? Ndo maana magari ya maji taka pande zile hayaishiiiYale mabwawa ya majitaka kunaifanya Spenco ardhi yake ipoteze thamani kabisa
Hapo unanunua kiwanja mkuuBei nzuri,ila huo ukuta unanipa mahsaka sana kuhusu ardhi ya hilo eneo...
Ndio huko wanapomwagia, sasa vuta picha harufu wanayokumbana nayo wakazi wa hayo maeneoHivi huko ndo kuna hayo mabwawaa??? Ndo maana magari ya maji taka pande zile hayaishiii
Nyumba ukuta umeliwa na chumvichumviNdio huko wanapomwagia, sasa vuta picha harufu wanayokumbana nayo wakazi wa hayo maeneo
Ile ni nyumba ya kufanya ukarabati mdogo then,unaendelea kula zako kodi kila mwezi.Hati yake ni leseni ya makazi.Ndio huko wanapomwagia, sasa vuta picha harufu wanayokumbana nayo wakazi wa hayo maeneo
Ndo maana offer ni 7m.Ukitaka view yake vizuri nicheki nikutumie video kwa watsaap.Yale mabwawa ya majitaka kunaifanya Spenco ardhi yake ipoteze thamani kabisa
Bajaji inashuka thamani na kuna risk ya ajali.Nyumba hadi vitukuu wataifaidi.Kupanga ni kuchagua!vyumba sita kodi yake kwa mwezi ni sawa na nikinunua bajaji??(Bajaji ni 20,000 kwa siku)
Jibu hiliKodi bei gani ?
Mwenye nia anitafute ili akaone na akaulize wapangaji hizo kodi.Jibu hili
Hili tangazo ungelibandika huko kwa wapangaji.Mwenye nia anitafute ili akaone na akaulize wapangaji hizo kodi.
Ajali ni popoteBajaji inashuka thamani na kuna risk ya ajali.Nyumba hadi vitukuu wataifaidi.Kupanga ni kuchagua!
NdiooooooHili tangazo ungelibandika huko kwa wapangaji.