House4Sale Tunauza nyumba na viwanja

House4Sale Tunauza nyumba na viwanja

vyumba sita kodi yake kwa mwezi ni sawa na nikinunua bajaji??(Bajaji ni 20,000 kwa siku)
Hiyo 20k siyo faida. Faida inawezakua 5k endapo unatenga pesa ya service, uchakavu na gharama za uendeshaji.
 
Kiwanja chenye hati kinauzwa Kigamboni Mwongozo,km 3 tokea barabara ya lami na km 1 mpaka Beach.Kina ukubwa wa sqm 800.Eneo ni tambarare.

Tuwasiliane kwa namba 0677089280.

20220613_154052.jpg
20220613_154052.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_1655178967491.jpg
    FB_IMG_1655178967491.jpg
    75.8 KB · Views: 18
Duuu nimeshindwa kuelewa!
Bei imeshuka,millioni 10 inahitajika chachapu kwa nyumba hiyo.Ushindwe wewe.Vyumba vipo sita wapangaji wanalipa 50k kila mtu,mara sita 300,000 hiyo kila mwezi.
 
Kiwanja kina sqm 241.
Kiwanja kina Leseni ya Makazi(Hati)
Bei yake ni 6M.
Umbali ni mita 200 toka Kilwa road.
Tuwasiliane kwa namba 0677089281
 
Back
Top Bottom