Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Top 14m,njoo ulipie na wapangaji tayari wapo unaendelea kukusanya kodi tu!
Imepanda bei tena😲😲😲Top 14m,njoo ulipie na wapangaji tayari wapo unaendelea kukusanya kodi tu!
Ha hahaaa imepanda mkuuu,14m.Ile 10m ilipostiwa kimakosa.Imepanda bei tena[emoji44][emoji44][emoji44]
Usitishe shaka,njoo ushuhudie Chief!Tumenunua kiwanja Milioni 15 huku usukumani....inatia shaka Buguruni Nyumba iuzwe hiyo bei kijana?
Bei zinabadilika tuTop 14m,njoo ulipie na wapangaji tayari wapo unaendelea kukusanya kodi tu!
Mbona picha imepigwa kiwiziwizi. Kama upo kwenye bodaboda.Nyumba ipo Mbagala machinjioni. Kwa taarifa zaidi piga 0677089280.Nimeambatanisha picha!View attachment 2355763View attachment 2355764View attachment 2355765View attachment 2355767