House4Sale Tunauza nyumba na viwanja

House4Sale Tunauza nyumba na viwanja

Bajaji inashuka thamani na kuna risk ya ajali.Nyumba hadi vitukuu wataifaidi.Kupanga ni kuchagua!
Jinsi ilivyoliwa na chumvi kizazi gani kitafaidika? Labda ujenge nyingine imara ikae miezi 6 nayo iliwe
 
Nyumba inapatikana Vingunguti Spenco, ina vyumba sita kwa ndani kimoja kwa nje. Vyumba, vyote sita vina. wapangaji. Wahi chapu chapu ubahatike, mwenye nyumba ana shida zake. Piga namba 0677089280 kwa maelekezo zaidi.


View attachment 2247769View attachment 2247770
mwenye nyumba ana shida zake

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Amechoka kuvuta harufu pendwa ya eneo hilo??
 
Inauzwa nyumba Buguruni Mivinje,ni mita 100 tu tokea kituo cha buguruni malapa.Hati yake ni leseni ya makazi na Bei 15million tu.Tuwasiliane kwa namba 0677089280 kwa aliye serious.

Screenshot_20220611-151451_Video%20Player.jpg
Screenshot_20220611-151454_Video%20Player.jpg
20220611_144209.jpg
 
Spenco noma sana ile harufu haifai watu wanalazimisha sana maisha ivi kwanini mtu uishi spenco? Bora nikaishi Kisarawe hata kama ni mbali na mjini ila hewa safi
 
Spenco noma sana ile harufu haifai watu wanalazimisha sana maisha ivi kwanini mtu uishi spenco? Bora nikaishi Kisarawe hata kama ni mbali na mjini ila hewa safi
Spenco au Kijiwe Nongwa,watu kibao kule hawana noma!Nadhani uzisikia story za Kijiwe Nongwa.
 
Back
Top Bottom