SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

Status
Not open for further replies.
Wenzako wanaofanya matangazo kama haya wanaweka na bei kabisa maana wanajiamini ubora wa bidhaa zao pamoja na convising price. Kitendo cha kuweka namba za simu ili tukuulize hakina afya kabisa kinaondoa kutokujiamini kwako na bidhaa unazotangaza halafuuu!!! unatuwekea instagramu kwani sisi ni Mangekimambi?
Ameweka
 
Bado upo. Kwanini?
Mkuu heshima kwako. Wiki mbili zijazo nakuja dar nitakuja dukani kwako nataka tcl smart tv je nitapata kwa sh ngapi pia kama nitataka kuwekesha (kuwekeza) hiyo tv je bei itapanda au itabaki ileile.
 
Mkuu heshima kwako. Wiki mbili zijazo nakuja dar nitakuja dukani kwako nataka tcl smart tv je nitapata kwa sh ngapi pia kama nitataka kuwekesha (kuwekeza) hiyo tv je bei itapanda au itabaki ileile.
Karibu sana Mkuu. Sijajua unataka TCL smart inch ngapi. Ila pia ukitaka kuwekesha fika dukani tu chagua unachotaka then anza kulipa kidogokidogo kwa muda tutakao kubaliana
 
Mkuu Nahitaji Home Theater watts 500 iwe ba bluetooth. Nitajie bei na brand yake. Pia iwe inasoma Mp4 files (Must)
 
Wakuu , kwa bidhaa zote za Boss kama mafriji, sabwoofer, majiko ya boss na bidhaa zingine zenye brand hiyo ya BOSS hakuna Payment on delivery.

Ila bidhaa nyingine sawa huduma hiyo ipo kwa wateja wa hapa dar.
Fridge za Boss mnauzaje?
 
nataka TCL P Series 55" 4K UHD inauzwaje? Hasa series (55P607) ila nipe bei nijue nikija najaje
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom