SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

Status
Not open for further replies.
Wakuu , kwa bidhaa zote za Boss kama mafriji, sabwoofer, majiko ya boss na bidhaa zingine zenye brand hiyo ya BOSS hakuna Payment on delivery.

Ila bidhaa nyingine sawa huduma hiyo ipo kwa wateja wa hapa dar.
 
Nina laki 4 nahtaj tv sumsung 32" mkuu
Hapana mkuu , kwa pesa hiyo utaweza kupata Star-X TV 32" , ni nzuri tu sana. Yofauti yake na samsung ni Bei tu. Ila kwa ubora hakuna tofauti.

Karibu
0717016789
 
All Gas. Bei yake ni 430,000/-


Jiko la Kisasa BEI POA

call/Whatsapp - 0717016789
30db0ee516856758a71acaf4d1b60c21.jpg
d6f1966a402c74a2e5df804719ce7369.jpg
25fad73ef7fb23804750e73a6032c534.jpg
 
0717016789

H300 SONY CAMERA 550,000/-
271490d888ad451783c1fe055573427a.jpg
2f5fb02ad0804ff20cfd37b88cb8506b.jpg
ba5891035b2351db797b9581fb2b3a41.jpg
b83a76c1d1e9a93e6f8893d71f217c16.jpg
4b63f945258b2ee67af4cbbbac840ce8.jpg
212271102b2a1654f284498464e00504.jpg


0717016789
 
Ndio mkuu inafanya kazi kama AC tu, kuna moja unaweka mabarafu ila ya kisasa unaweka maji tu halafu inafanya kazi yenyewe. Pia ukitaka uitumie kama feni unaweza. Ni wewe tu unaamua kuweka settings gani.

Ni shi ngap mkuu
 
HOMETHEATRE SAMSUNG(WIRELESS speakers) Unazo? naomba bei tafadhali,nije.
 
Nahitaji tv ya nchi 32 niko mbeya, ila naomba nieleweshe utofauti tv za kawaida na smart tv ili nichague kitu bora?
 
Nahitaji tv ya nchi 32 niko mbeya, ila naomba nieleweshe utofauti tv za kawaida na smart tv ili nichague kitu bora?
Tv za kawaida hazina internet ila smart tv zina mfumo wa internet unaweza kuiunganisha na wi-fi au modem ukaperuzi kwenye mtandao.
 
Nahitaji tv ya nchi 32 niko mbeya, ila naomba nieleweshe utofauti tv za kawaida na smart tv ili nichague kitu bora?
Haya mkuu, umeshapata Maelezo tayari. Unaweza nicheki kwa 0717016789 uweke order yako
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom