SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

Status
Not open for further replies.
Mbna maswal mengne hjbu au si wengne sio wateja umeulizwa friji la boss malngo mmja sh ngap
 
Wenzako wanaofanya matangazo kama haya wanaweka na bei kabisa maana wanajiamini ubora wa bidhaa zao pamoja na convising price. Kitendo cha kuweka namba za simu ili tukuulize hakina afya kabisa kinaondoa kutokujiamini kwako na bidhaa unazotangaza halafuuu!!! unatuwekea instagramu kwani sisi ni Mangekimambi?
Ni kweli kabisa
 
Mkuu bei zinabadilika kika siku. Hapa kesho bei zine change. Mtu akipenda kitu au akiwa anataka kitu ananiuliza tu namwambia bei hadharani hapahapa kwenye Uzi. Kitendo cha wewe kuja kuni attack hapa kuwa sijiamini na bei zangu ni kukosa ustaarabu na adhabu yako nitakuuzia chochote kwa BEI RAHISI sana. Sasa chagua chochote halafu uniambie kwingine bei gani halafu na mm nikupe bei.

Twende kazi
Naomba unipe na Mimi hii adhabu yake
 
Umeulizaa friji ya mlango mmoja bei gani Umeshindwa kujibu
 
Hatimaye leo nimeona moccasin za srinavas [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
908fd64d87b9874947aaad973cb1b443.jpg
Hii inakwenda kwa ngapi?
Na vp ina HDMI port?
 
Hiyo SHARP Air Cooler ya Mchina inasema "wind direction" badala ya "air direction". Hiyo labda ingeitwa "Wind Cooler" badala ya Air Cooler. Kila kitu ni fake, fake, fake.
Mkuu kuna viingereza vingi. Usikariri kiingereza kimoja tu, sijui kama unajua definition ya wind??. "Wind is a moving air from high pressure region to low pressure"
 
Huyu anachagua wa kuwajibu
Biashara haiko hivyo
Anyway sehemu zipo nyingi
Mkuu nisamehe nakuwa dukani kazi ya kubeba mabox hapa nayo sio mchezo. Ngoja nikujibu mkuu
 
Freezer zipo? Bei zake zikoje? Nipo cngida nkihitaji ntazipataje?
Mkuu freezer zipo za aina nyingi. Mfano kuna hot point 750,000 warrant miaka 10. Kama upo singida tunakutumia tu mzigo mkuu hakuna shida. Wala sio gharama kubwa kutuma.
 
Huyu anachagua wa kuwajibu
Biashara haiko hivyo
Anyway sehemu zipo nyingi
Usikasirike kama hajakujibu, am sure atakua hajaiona meseji,
Meseji zinatiririka nyingi sana za kuuliza vitu tofauti, kuwa na subira, akiiona atajibu tu,

Mleta thread ana nia nzuri ya kufanya biashara, Big up, ila ni vema pia ushauri mzuri anaopewa akauchkua tu na kuufanyia kazi,
Biashara matangazo, na unatakiwa kujiongeza pia, mfano umeona kuna mtu kakushauri kuhusu kuweka pic na bei yake, huu ni ushauri mzuri, hupotezi chochote kwa kubandika bei Chini yake, hii itakusaidia kupunguza maswali yasiyo ya lazima.
Af usilazimishe watu wakupigie, wee ukipata chance ingia jf fatilia meseji, jibu kwa ufasaha, mfano mtu akiuliza TV aina flani bandika pic yake na nyinginezo +bei zake na other alternative, na huduma ya kufikishiwa alipo!!! HUPOTEZI KITU KUPOST TU HUMU! it's your business, and it's you utaevutia watu

Ushauri tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom